Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Hii game tulijua tu uto mnashinda, haina hata msisimko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii mechi Uto...kaikamata,Dakika ya 70
Yanga 3 - Medeama 0
Hahaha 🤣🤣🤣 swali zuri SanaWydad ndio kibonde wa Africa msimu huu .
Halafu si tushakubalina kuwa vibonde wapo shirikisho mbona Makolo mnatugeuka sasa ?
Unaumia ukiwa kona gani hapa tizii🤣Timu hata kwny ramani haipo
Tumekufata wew mochwari [emoji1787]Wazee wa mochwari wanafurahia..
Niumie na nini? Kwangu jana tulimaliza shereheUnaumia ukiwa kona gani hapa tizii🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwenye mabegi mkuu..[emoji23][emoji23][emoji23]
We unafikiri kuna mechi nyingine mtashinda baada ya hapaSi tulikubaliana kuwa Champions League ya Magiant au mpaka tuchukue Uefa ndio mtuamini mbona Makolo mnatugeuka wakati vibonde wapo shirikisho ?
Kwakuwa mmepata Vibonde naona Mnajipigia Tu na mnafurahi sana leo 😀🤣🤣Kinachonisikitisha wewe ni daktari[emoji28][emoji28]
Ulijua wewe na naniHii game tulijua tu uto mnashinda, haina hata msisimko
njooo tuanze upyaaa nyama chomaNiumie na nini? Kwangu jana tulimaliza sherehe
Mzee baba ww comment mambo yako achana na mimi...utachoka usije pata presha buree.. 🤣 🤣Tumekufata wew mochwari [emoji1787]
Hapa ulikuwa unaomba dual la kuku mkuu🤣Niumie na nini? Kwangu jana tulimaliza sherehe