Kaifate comment yangu ya nyuma niliyoandika kuhusu vibaiskeli vya Mayele.Kwa sasa habari ya mjini ni Mayele. Anapiga chenga mpaka golikipa.
Huwezi shangilia useless goalsHawajumuiki kushangilia kwasababu sio kitu cha kustua, kufunga hiyo ndio role yake sa unaposhangilia sana mpaka kutikisa maziwa ni kama umebahatisha.
Kuna muda mwingine uone aibu kuandika mashuduKaifate comment yangu ya nyuma niliyoandika kuhusu vibaiskeli vya Mayele.
Nimegundua kuwa Mayele ni big fan wa Sakho ila inachoonekana ni kwamba anajaribu kufanya anachofanya Sakho bila kumshirikisha ili apewe usaidizi na ndio maana ulikiwa unaona akipoteza mipira
Kumbe wewe ni nabiiNilitabiri Geita kufungwa ila sikuweza kubashiri nafasi ya Refa kuwafanya wafungwe
Yangekuwa ni mashudu usingeyajibuKuna muda mwingine uone aibu kuandika mashudu
Kuanzia makocha wazawa hadi wachezaji wazawa kuna shida kubwa. Juzi juzi niliahidi kuja na uzi kuwahusu makocha wazawa nikitulia nitauandika.Makocha wa hizi timu ndogo mi wanishangaza sana. Ukicheza na Simba au Yanga haupaswi kucheza standard football ya short passes, inatakiwa ucheze pasi ndefu na kujaribu ukifika ndani ya 18.
Mi sio nabi wala Kaze mimi ni ScarsKumbe wewe ni nabii
Magoli ya papatu papatuHuwezi shangilia useless goals
Kila la kheri kagera sugar.
FT YEBO YEBO 0 VS 1 KAGERA SUGAR.
Kutokana umuhimu wa sukari katika chai, niko KageraView attachment 2584616
RIP Utopolo
Nyie makolo em kujeni hapa muone wananchi tunavyotandaza kandanda safi.Nzi wa kijani wapigwe spray watawanyike π π
Imagine beki mkubwa kama Doumbia anaanzia nje!!
Mipasho waachie akina Zuchu.Anhaa kumbe ni huyu rasta
Wakati naondoka nilimuacha akiwa amepata nafasi 7 za wazi
Na takwomu zinasema kwenye nafasi 10 lazima akupige goli 1
So kumbe nilivyotoka, hapo katikati kulikuwa kuna nafasi zingine 3 ali miss.
Well done hii ndio aina ya striker ambaye anastahili kucheza kwenye Club hii kutokana na hadhi ya Club.
Mayeleeeeeeeee