FT: Young Africans SC 5-0 Kagera Sugar | Ligi Kuu Bara | Azam Complex | 11-04-2023

FT: Young Africans SC 5-0 Kagera Sugar | Ligi Kuu Bara | Azam Complex | 11-04-2023

Kwa sasa habari ya mjini ni Mayele. Anapiga chenga mpaka golikipa.
Kaifate comment yangu ya nyuma niliyoandika kuhusu vibaiskeli vya Mayele.

Nimegundua kuwa Mayele ni big fan wa Sakho ila inachoonekana ni kwamba anajaribu kufanya anachofanya Sakho bila kumshirikisha ili apewe usaidizi na ndio maana ulikiwa unaona akipoteza mipira
 
Kaifate comment yangu ya nyuma niliyoandika kuhusu vibaiskeli vya Mayele.

Nimegundua kuwa Mayele ni big fan wa Sakho ila inachoonekana ni kwamba anajaribu kufanya anachofanya Sakho bila kumshirikisha ili apewe usaidizi na ndio maana ulikiwa unaona akipoteza mipira
Kuna muda mwingine uone aibu kuandika mashudu
 
Nasikia mashabiki wanapiga kelele za " tunamtaka....... Zuwena! Tunamtaka....... Zuwena!!" 😃
 
Makocha wa hizi timu ndogo mi wanishangaza sana. Ukicheza na Simba au Yanga haupaswi kucheza standard football ya short passes, inatakiwa ucheze pasi ndefu na kujaribu ukifika ndani ya 18.
Kuanzia makocha wazawa hadi wachezaji wazawa kuna shida kubwa. Juzi juzi niliahidi kuja na uzi kuwahusu makocha wazawa nikitulia nitauandika.
 
Hili nalo mkalitazame
 

Attachments

  • 20230411_124859.jpg
    20230411_124859.jpg
    24 KB · Views: 1
Anhaa kumbe ni huyu rasta

Wakati naondoka nilimuacha akiwa amepata nafasi 7 za wazi

Na takwomu zinasema kwenye nafasi 10 lazima akupige goli 1

So kumbe nilivyotoka, hapo katikati kulikuwa kuna nafasi zingine 3 ali miss.

Well done hii ndio aina ya striker ambaye anastahili kucheza kwenye Club hii kutokana na hadhi ya Club.

Mayeleeeeeeeee
Mipasho waachie akina Zuchu.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom