Kwa mara ya kwanza mmejitutumua[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
Hahahahahah hii timu ya kagera iliamua ifanye yote hayo...mafaulo na kujiachiaUnatumia kinywaji gani .. unitumie LIPA NAMBA π π
Wachezaji wazawa hawajitambuiMpira wa TZ kwishne .... huku Uto mechi 2 wachezaji wa kigeni wanafunga goli zote 6, na kule Simba mechi 2 magoli yote 7 wanafunga wageni
Mara ya pili itakuwa jumapiliKwa mara ya kwanza mmejitutumua
Hawapesi nafasi mkuuWachezaji wazawa hawajitambui
Si tunawaona huku Kagera Sugar, Geita Gold na timu nyingine. Hawajitambui kiasi kwamba wakifika timu kubwa akili zinakuwa zimeshadumaa.Hawapesi nafasi mkuu
Wao wahangaike sisi tutawanyooshaHayaaa usiseme sijakwambiaa hii wiki nzima nimesikia hamna kulala[emoji23][emoji23]
Mimi ni Uto dam dam, yellow bloodiedBaba bulubendi kwani wewe timu gani?
Nadhani hii na ile ya NGAO YA JAMII zote zimenunuliwa.Hii haijanunuliwa kweli??
Mlitaka wafunge akina Feisal wakati mmewaambia wagome kucheza??Mpira wa TZ kwishne .... huku Uto mechi 2 wachezaji wa kigeni wanafunga goli zote 6, na kule Simba mechi 2 magoli yote 7 wanafunga wageni
Kumbe ndio maana nakupenda πππππMimi ni Uto dam dam, yellow bloodied
Mama bulubendi
Inaonekana umeumia sana...Nimeamini timu hizi za Tanzania zisizo na wachezaji kutoka nje ni pa kujipigia aisee..ww angalia timu kama Singida...Ihefu na Azam huwezi kuta huu urojo kama wa leo...ππππ
Na akiendelea kuiga atavunja kiumo maana hakijui kibaiskeliMayele na vibaiskeli wapi na wapi mzee?