FT: Young Africans SC 5-0 Kagera Sugar | Ligi Kuu Bara | Azam Complex | 11-04-2023

Ungehangaika na Okra kwanza kabla ya mambo ya jirani
 
Kagera kwa namna walivyokula.bahasha watapigwa kama.ngoma
 
Bahasha njenje hapa. Kagera Sugar washaelekea Qibla wenyewe. Hawa sio Kagera tunaowajua.
 
Hizi nafasi tunazokosa ni kama Ihefu walizokuwa wanakosa Jana, kibao kilipogeuka mwishoni japo ni kwa msaada wa refa wakalizwa
 
Hahahaha ila Kagera wanakoswa aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…