mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
Aziz k[emoji460][emoji460]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya kupata ka penatiKila mtu na ashinde mechi zake. No way out. Tofauti ya pointi 8 lazima ibakie pale pale.
😂😂😂😂😂😂😂By the way naziombea timu zote zishinde
Atleast hapa umeweka ushabiki pembeniPenati nyepesi sana hii
Tulia wewe. Wananchi tuna jambo letu.Mbeleko Fc
Kila mtu na ashinde mechi zake. No way out. Tofauti ya pointi 8 lazima ibakie pale pale.
Utajutia hii kauli yako.Yani Azi bila kupewa penalt au faulo hafungi
Ndo mwache kumvimbisha tulishawaambia ana wakost penye kufunga 4 au 3 mnaondoka na kabao ka mokoMayele aache ubinafsi, hili la kuwa anasifiwa tu hata pale anapokosea ndilo linamfanya ajione ni Mungu uwanjani. Mipira mingi ya kugawa ananga'ang'ania paka anapoteza
Na tarehe 16 kichapo kiko pale pale.