Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Profile lako halijakaa kimakolokolo kabisa daaah [emoji849][emoji2960]Wanangoja wapate goli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Profile lako halijakaa kimakolokolo kabisa daaah [emoji849][emoji2960]Wanangoja wapate goli
Kunjua roho Mtani ili sote tuneemeke kwa shangwe jamani [emoji39][emoji16]Nzi wa kijani wapigwe spray watawanyike 😎 😛
Kushabikia uto ni sawa na kuwa Ccm hahahProfile lako halijakaa kimakolokolo kabisa daaah [emoji849][emoji2960]
Ungehangaika na Okra kwanza kabla ya mambo ya jiraniHuyu jamaa angejua kabeba matumaini makubwa ya wana Yanga huku mitandaoni nadhani angejituma kuhakikisha zile sifa wanazompa zinaendana na kitu anachokifanya uwanjani
Kadri siku zinavyoenda tunaona walau Kisinda sasa
Utofauti wake na sawadogo ni kwamba mmoja anacheza dakika 45 na mwingine 20
Wasiopenda ukweli wataniita hater
By the way naziombea timu zote zishinde
Njoo nikupee dawa ya kushabikia Utopolo usiione kama CCM we Pisi Kali wa Makolokolo [emoji144]Kushabikia uto ni sawa na kuwa Ccm hahah
Haji Manara hakukoseaYanga 3 - 0 Mtibwa.
Sio kweliNjoo nikupee dawa ya kushabikia Utopolo usiione kama CCM we Pisi Kali wa Makolokolo [emoji144]
Hii ni warm up ya tarehe 16Mayele anakosa nafasi ya 6
Tarehe 16 kuna nini?Hii ni warm up ya tarehe 16
Kweli kabisa mtani..ila leo mfeli at least point zibaki 5...Kunjua roho Mtani ili sote tuneemeke kwa shangwe jamani [emoji39][emoji16]
utasikia tulia hivyo hivyoTarehe 16 kuna nini?
Sisi yang'a tunaridhika tuu hata kuona Rasta zake zikipepeaConversion rate ya Mayele ni ndogo kuliko ya Yipke, sema kuna nyakati anakuwa na siku nzuri