Mechi za kimataifa za kumuanzisha Chama ni hizo za timu kama CBE.Tatizo la Pacome ni ubinafsi na kupenda kucheza na jukwaa!! Kwenye mpira wa kisasa hawezi!! Chama hana mpinzani pale Yanga kwa sasa!! Chama hana hata chembe ya ubinafsi. Itabidi Azizi Ki akubali tu kuanzia benchi hasa kwenye mechi za kimataifa!!
Huko wataenda kumfuja fuja tu.Wakifika bei tunauza
angalia magoli mazuri achana na kati hapoKosa kubwa kumtoa Max, pale kati pameyumba sana. Nadhani Alitakiwa kutoka Mudathir
Pesa ndio ya muhimuHuko wataenda kumfuja fuja tu.
Acha kuandika insha kijana. Angalia pira 🤣Gooool, Aziz K. ila, nimetazama sana mechi za Yanga, naona kama kila wanavyoenda mbele wanazidi kushuka, ni kama wameanza kuamini wao ni wakubwa mno ilihali waendapo ni kugumu zaidi ya walipotoka, walipotoka hakuna mpinzani aliyewatilia maanani sana, sasa hivi timu kama CBE inakaza.
na kafunga goal sasaAzizi Ki sijui ndio Mobeto kamuaribu au ndio sifa zimemlevya, kawa mpotezaji sana wa mipira
kuna uzi wa kihasibu ukafufuliwe sasaUzi wetu
Hata kijana wa umuhimu pia kaka.Pesa ndio ya muhimu
Hahaha. Ok mkuu.Acha kuandika insha kijana. Angalia pira 🤣
Masandawane mwaka huu chagua timu mapema. Mi nimeshachagua Walibya mnaopiga nao kesho.Mnacheza na wanafunzi wa CBE ya dodoma hapo mnategemea nn ila utopolo🐸🐸🤣🤣
Mbona msimu huu kuanzia ngao timu zote tulizocheza nazo zilikuwa mbovu ikiwemo na yako tuliyo igonga nane nane.Hawa utopolo hamna kitu wanacheza na timu mbovu ila wanavyohangaika kufunga kama wamekutana na timu ya maana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mnacheza na wanafunzi wa CBE ya dodoma hapo mnategemea nn ila utopolo[emoji196][emoji196][emoji1787][emoji1787]