Mzize anabaki.Wydad walete hizo tsh Bilion 3.5 za mzize.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzize anabaki.Wydad walete hizo tsh Bilion 3.5 za mzize.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama unaona cbe ni vibonde leta timu yako hiyo utachagua tukupige cha nguruwe au tukupige mwana ukome 5
Tatizo la Pacome ni ubinafsi na kupenda kucheza na jukwaa!! Kwenye mpira wa kisasa hawezi!! Chama hana mpinzani pale Yanga kwa sasa!! Chama hana hata chembe ya ubinafsi. Itabidi Azizi Ki akubali tu kuanzia benchi hasa kwenye mechi za kimataifa!!Mbona kama pacome ana force sana kwani kuna mashindano ya chama na pacome kikosini
mshtue amwangalie aziz k alafu aseme kama yanga kapigwa ama hapanaNimepata habari kuwa OKW BOBAN SUNZU yupo uwanjania anaangalia mpira MUBASHARA
Ngoja nimpigie kabisamshtue amwangalie aziz k alafu aseme kama yanga kapigwa ama hapana
aanze yeyote itategemea umuhimu wa mechiTatizo la Pacome ni ubinafsi na kupenda kucheza na jukwaa!! Kwenye mpira wa kisasa hawezi!! Chama hana mpinzani pale Yanga kwa sasa!! Chama hana hata chembe ya ubinafsi. Itabidi Azizi Ki akubali tu kuanzia benchi hasa kwenye mechi za kimataifa!!
Kwa mechi za ligi atakuwa anaanza Azizi Ki, maana Chama udhaifu wake ni kutojituma kikamilifu kwenye mechi za ligi ya ndani!!aanze yeyote itategemea umuhimu wa mechi
Wazambia wengi roho nyeupeTatizo la Pacome ni ubinafsi na kupenda kucheza na jukwaa!! Kwenye mpira wa kisasa hawezi!! Chama hana mpinzani pale Yanga kwa sasa!! Chama hana hata chembe ya ubinafsi. Itabidi Azizi Ki akubali tu kuanzia benchi hasa kwenye mechi za kimataifa!!