FT: Young Africans SC 6-0 CBE SA | CAFCL | 2nd Preliminary round | 2nd Leg | Amani Stadium | 21-09-204

FT: Young Africans SC 6-0 CBE SA | CAFCL | 2nd Preliminary round | 2nd Leg | Amani Stadium | 21-09-204

Hii Utopolo ya kawaida tu. Eti wachezaji wao nyota ni wale tuliowastaafisha.
 
Kombe la ma loosers .

Simba wakikosa kuchukua hata hili kombe la ma loosers basi watakuwa best loosers [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbonaa Yangaa haikuchukuaa hilo kombe la ma Loosers?
Au unajizima data? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawa utopolo hamna kitu wanacheza na timu mbovu ila wanavyohangaika kufunga kama wamekutana na timu ya maana
 
Mnacheza na wanafunzi wa CBE ya dodoma hapo mnategemea nn ila utopolo🐸🐸🤣🤣
 
Kosa kubwa kumtoa Max, pale kati pameyumba sana. Nadhani Alitakiwa kutoka Mudathir
 
Back
Top Bottom