cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Poleeee wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umefata nini hapa subiri jukwaa lako hapo kesho ulowe tope..[emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleeee wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umefata nini hapa subiri jukwaa lako hapo kesho ulowe tope..[emoji16]
ombi lako limesikika mkuuToa nje Mzize, Kajiumiza
Mbonaa Yangaa haikuchukuaa hilo kombe la ma Loosers?Kombe la ma loosers .
Simba wakikosa kuchukua hata hili kombe la ma loosers basi watakuwa best loosers [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umemsahau ephen_Kila la kheri chama langu pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara timu pekee pendwa sisi hatupo kombe dogo kama wale wenzetu panya rodi yanga bingwa baadae saa 2 inshallah 😎 tunafuzu makundi View attachment 3101516View attachment 3101520
Wakifika bei tunauzaMzize anabaki.
💛💚🔥Sisi ndo Yangaaaaa
Timu bora zipo shirikisho.Hawa utopolo hamna kitu wanacheza na timu mbovu ila wanavyohangaika kufunga kama wamekutana na timu ya maana