Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inakaza kwa kufungwa 4 aggregate?Gooool, Aziz K. ila, nimetazama sana mechi za Yanga, naona kama kila wanavyoenda mbele wanazidi kushuka, ni kama wameanza kuamini wao ni wakubwa mno ilihali waendapo ni kugumu zaidi ya walipotoka, walipotoka hakuna mpinzani aliyewatilia maanani sana tofauti na sasa CBE inakaza.
Kocha kafanya rotation wiki ijayo kuna ligi, timu bado inamwitaji.Kosa kubwa kumtoa Max, pale kati pameyumba sana. Nadhani Alitakiwa kutoka Mudathir
Ndoto za juu ya mti ni hatariAĺ the best CBE mfieni chuma 2 tu mbwa huyu
Kikosi kipana, keshaona mechi imeisha hii.... who's next?Kosa kubwa kumtoa Max, pale kati pameyumba sana. Nadhani Alitakiwa kutoka Mudathir
hakumuona aziz ki alikua na nafas pana yakufungaDah Dube....
Kwanini unasema inashuka? Kipimo kipi ulichokitumia?Gooool, Aziz K. ila, nimetazama sana mechi za Yanga, naona kama kila wanavyoenda mbele wanazidi kushuka, ni kama wameanza kuamini wao ni wakubwa mno ilihali waendapo ni kugumu zaidi ya walipotoka, walipotoka hakuna mpinzani aliyewatilia maanani sana tofauti na sasa CBE inakaza.
Hamna alipunguza vizuri tu ila kipimo kilikataa.hakumuona aziz ki alikua na nafas pana yakufunga
Kwani uongo?"watakufa na kisukari"Moja kati ya commentary za hovyo kabisa ambazo mtangazaji hupenda kuzitumia
Na bado FeiFei sijui kweli anarudi.Hee Baleke yupo kumbe...!
Hata sub hakuwekwa...?
Bahati mbaya tu. Mpira ungeingia lingekuwa bonge la bao.Dube huu ujinga wake atakaa benchi sanaa