Kuna mwenzako p.didy kadai ngoma inaisha kwa ov2.5Naomba mchezo uishe haraka jamani. Refa maliza mchezo. Nimeweka under 2.5 nisije nikaliwa na Kanji.
Humo hamna kituFeisal salum anakosa nafasi
wanataka kututofoa kizazi 😂Zambia wanafanya mashambulizi sana
Goal kickCorner ya kwanza wanapata Zambia
Amerejea uwanjaniMudathir Yahya anatoka nje kidogo
Watu kama nyie jeshini huwa mna adhabu yenu special. Aya tulia hukohuko Zambia, mshakalia kimokoMimi huwa si shabiki wa Taifa Stars. Bahati mbaya pia nina damu toka Zambia acha niwe huko leo.
Chipolopolo 🫶[emoji123]