FT: Zambia 0-1 Tanzania | Kufuzu Kombe la Dunia | Levy Mwanawasa Stadium | 11/06/2024

Zambia wanafanya shambulizi kali ila kipa wa stars amebaki imara
 
Dakika ya 30 ya mchezo

Zambia 0:1 Tanzania
 
Mimi huwa si shabiki wa Taifa Stars. Bahati mbaya pia nina damu toka Zambia acha niwe huko leo.
Chipolopolo 🫶[emoji123]
Watu kama nyie jeshini huwa mna adhabu yenu special. Aya tulia hukohuko Zambia, mshakalia kimoko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…