Mtu_ bakize
Senior Member
- Jul 8, 2018
- 157
- 214
Pitch sio nzr kbsaa mpira hautembei
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
fullMi siangalii hiyo mechi ila nimeona kuna mtangazaji wa radio kapost hiiView attachment 2855012
Ile pitch tuipe miezi michache itakuwa inafanana na ya Uhuru, puaaa kabisa. Wachezaji wakipiga pasi wanatifua udongoPitch sio nzr kbsaa mpira hautembei
Mfuniko na pipa vimekutana. Mpira wa ovyo kabisa.
Game ya hovyo na ya kishenzi kuwahi kuishuhudia tangu mwaka 2023 uanze.
Mchezaji bora wa Stars sasa hivi ni Kibu na sitegemei kama hilo itabadilika hivi karibuni.Dah! Ila Bongo hatuna bahati ya kuwa na Maproo wakali.
Kabsa ni vyema kama na wew umeliona hilo, kiufupi sioni kikosi cha kuokoteza hata point moja huko Afcon,Mchezaji bora wa Stars sasa hivi ni Kibu na sitegemei kama hilo itabadilika hivi karibuni. Huko AFCON tucheze kwa kukamia hasa hivi hivi tutarudi na kapu la magoli. Hatuna washambuliaji kabisaaa
Halafu kuna jambo limenishangaza jana. Hivi ni mimi tu ndiye sijaona au ni kwamba hakukuwa na camera hata moja iliyoonyesha mabenchi ya ufundi wala makochaKabsa ni vyema kama na wew umeliona hilo, kiufupi sioni kikosi cha kuokoteza hata point moja huko Afcon,
Samatta,m Msuva, na Mzamiru hawa watu kwa nchi zilizo serious na soka saizi ilifaa wawe kwa hiari yao binafsi wamestaafu/ kustaafishwa Timu ya taifa.
Ni kama Azam walilazimishwa tu kushoot lile tukio maan wamefanya kwa bora liende sana.Halafu kuna jambo limenishangaza jana. Hivi ni mimi tu ndiye sijaona au ni kwamba hakukuwa na camera hata moja iliyoonyesha mabenchi ya ufundi wala makocha