Fuad Shukr, 2nd commander wa Hezbollah na Mshauri mkuu wa kiongozi wa Hezbollah Hassan Nasrallah auwawa na IDF nchini Lebanon. Hezbollah wathibitisha

Fuad Shukr, 2nd commander wa Hezbollah na Mshauri mkuu wa kiongozi wa Hezbollah Hassan Nasrallah auwawa na IDF nchini Lebanon. Hezbollah wathibitisha

Aisee jamii ya waarabu wenye itikadi Kali wanapitia kipindi kigumu mno! Nadhani kwa sasa Kila gaidi yuko kwenye panick ya Hali ya juu na hawajui wafanye Nini.
Naona muyahudi amekuja na mbinu nyingine ya kupigana vita hapo mashariki ya kati, mbinu yenyewe ni kupiga wachunga kondoo!... kwa hiki kipigo lzm watu kende zidumbukie ndani kama dume la ngombe lililo hasiwa😂

Mbinu hii bila shaka ni miongoni mwa mbinu B.netanyahu alizopewa ktk ziara yake huko magharibi maana Toka ameludi ni mwendo wa chinja chinja. (Snawar —kiporo Cha kesho)
Nadhani jamaa wameamua kutumia hii mbinu
images (27).jpeg
 
Hezbollah wamethibitisha kuuwawa kwa kamanda wao muhimu ambaye ni moja ya waasisi wake na Mshauri mkuu wa kiongozi wa Hezbollah Hassan Nasrallah , Fuad Shukr katika shambulizi la anga la kushtukiza katika maficho yake mjini Beirut, Lebanon Jumanne tarehe 30, Julai 2024.

Shambulizi la anga lililenga jengo alilokuwemo Shukr katika kitongoji cha Dahiyeh chenye msongamano mkubwa wa watu na vizuizi vingi vya ukaguzi (check points) ambacho kinatajwa kuwa ni ngome muhimu na maskani ya kundi la Hezbollah.

Ni ajabu kwa kamanda wa juu wa Hezbollah kuuwawa ndani ya ngome yake ya utawala tena nchini kwake na vikosi toka nje.

Mazishi yamefanyika tarehe 1 Agosti 2024.
Hezbollah has confirmed one of its senior military commanders was killed in an Israeli air strike in Beirut, the capital of Lebanon.

Late on Wednesday, the Iran-backed group said Fuad Shukr's body had been found in the rubble of a building that was hit on Tuesday.

Four other people were killed in the strike, including two children. Earlier, the Israeli military said Shukr had been the target of an "intelligence-based elimination".

It said the strike was a response to a rocket attack that killed 12 people in the Israeli-occupied Golan Heights on Saturday, which Israel says the commander helped plan.



Chanzo:
Nimependa maneno haya MAFICHO YAKE MJINI BEIRUT

Kwanini ajifiche
Na kwanini ajifiche mjini kwenye makazi ya watu ?
 
Ndani ya Hezibollah,Hamas kuna maajenti wa Israel.

Wako wengi mno Mkuu, huyu Kamanda alikuwa ghorofa ya pili, na ndio ofisi yake ilipo, akapigiwa simu na baadhi ya walinzi wake atoke aende ghorofa ya saba, ambako ndio nyumbani kwake, alipofika tu, ndege za IDF zikaifumua ghorofa ya saba! Hezbolah inauzwa na watu wake wenyewe!

Hivi unadhani Pager zimeingia Lebanon bila mkono ndani ya Hezbolah...?
 
Back
Top Bottom