Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Kuna wabongo wa hovyo mnafkiri vita ni kama michezo ya Play station. Hovyo kabisaaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wabongo wa hovyo mnafkiri vita ni kama michezo ya Play station. Hovyo kabisaaa.
Yaani unaacha kazi zako unaenda kuandika Pumba kama hizi?wakati hakuna nchi yenye Natural resources nyingi kama Russia hawezi kuishiwa.Urusi huo mziki kauvagaa, hiyo vita haiishi leo west mpaka wahikikishe rusia ameishiwa materials za kutengeneza siraha halafu wanatinga Kremlin kwenda kumnyakuwa huyo chizi.
Vita bado vipo sn na Russia kashajazwa
Kati ya mitego ambayo China aliwekewa na kaikwepa huu ndio ulikuwa mkubwa, mungu wake kamsaidia Leo maana China ingekuwa kama Vietnam
Usicheze na Moto wa usa.
China hawezi kukubali lazima waitandike hiyo ndege missile moja mujarabuChina akiacha hili lipite nita wadharau sana
Mpaka sasa kalala uso umemshuka kama vile kasutwa na kigoma cha KiuruguaiBwana Utam Jana alikuwa anasema Nancy haendi popote, matokeo yake kalala na kobazi hajaamka Hadi muda huu.