Uchaguzi 2020 Fujo kwenye mikutano ya kampeni ni vitendo vya kukemea

Uchaguzi 2020 Fujo kwenye mikutano ya kampeni ni vitendo vya kukemea

Kuna tofauti kubwa sana kati ya Hai na Kagera , Hai kulikuwa na kikosi kimeandaliwa kumdhuru Lissu na Mbowe ambacho kiliandaliwa na DC , Kagera wananchi wameulizwa kama watamchagua Magufuli wakasema hawatamchagua , jambo ambalo ni la kidemokrasia tu
Leta video clip sisi tulikuwa tunaangalia live siyo mikutano yenu haionyeshwi live ila huwa mnaibuka na viclip vya kizushi tu.
 
Nyomi za Magufuli zinakeraaa!!!

Hasa Kwa wapinzani wake, zinawakera Sana aisee
Kama hii hapa!! Sasa hapo wanasaccos kwa nini watoke mapovu!!

2520966_IMG-20200916-WA0147.jpg
 
Aaah wapi, ni uzushi tu wa mitandaoni, na Baadhi ya watu walitegemea kusingelitokea mwitikio mkubwa kama huo na Baadhi Yao kutegamea kwamba atazomewa tu kulingana na ukweli wa Magufuli kuwaambia Yeye hakuleta tetemeko bukoba...
Acha uwongo. Mm niko Bukoba na nimeshuhudia kilichotokea.

Alisema cccm oyeeee!
Kisha aliuliza wangapi watamchagua Magufuli?

Ndiyo sauti za "hatukutakiii"" zilsikika kutoka umati wa watu wupande mmojawapo.

Mgombea akapaniki na kuamuru wakamatwe. S
 
Binafsi nimehudhuria mkutano wa CCM kuanzia Bukoba Mjini na Biharamulo. Kagera na haswa Biharamulo wamejitokeza kwa wingi kumpokea mgombea wa CCM John Magufuli, yanayosemwa ni uzushi tu..ukweli usemwe, Kama hukua eneo la tukio usipoteze muda kubishana
Kwanini aliagiza wakamatwe?
 
Mbona huweki za Bukoba mjini hizi ni za njiani tu akisimamishwa na wananchi
Tulia wewe hao ndio wanaleta nyomi.

Mama nyerere alikiri aliletwa kuongeza idadi hakuta kuja[emoji23][emoji23][emoji111][emoji111]


Ni yeye
IMG_20200915_201610.jpeg
 
Back
Top Bottom