Mbona huweki za Bukoba mjini hizi ni za njiani tu akisimamishwa na wananchiNyomi la wanafunzi?
Lazima likere walibidi wawepo masomoni.[emoji23][emoji23][emoji111][emoji111]View attachment 1571673View attachment 1571674View attachment 1571675
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona huweki za Bukoba mjini hizi ni za njiani tu akisimamishwa na wananchiNyomi la wanafunzi?
Lazima likere walibidi wawepo masomoni.[emoji23][emoji23][emoji111][emoji111]View attachment 1571673View attachment 1571674View attachment 1571675
Leta video clip sisi tulikuwa tunaangalia live siyo mikutano yenu haionyeshwi live ila huwa mnaibuka na viclip vya kizushi tu.Kuna tofauti kubwa sana kati ya Hai na Kagera , Hai kulikuwa na kikosi kimeandaliwa kumdhuru Lissu na Mbowe ambacho kiliandaliwa na DC , Kagera wananchi wameulizwa kama watamchagua Magufuli wakasema hawatamchagua , jambo ambalo ni la kidemokrasia tu
Kama hii hapa!! Sasa hapo wanasaccos kwa nini watoke mapovu!!Nyomi za Magufuli zinakeraaa!!!
Hasa Kwa wapinzani wake, zinawakera Sana aisee
Acha uwongo. Mm niko Bukoba na nimeshuhudia kilichotokea.Aaah wapi, ni uzushi tu wa mitandaoni, na Baadhi ya watu walitegemea kusingelitokea mwitikio mkubwa kama huo na Baadhi Yao kutegamea kwamba atazomewa tu kulingana na ukweli wa Magufuli kuwaambia Yeye hakuleta tetemeko bukoba...
Kwanini wamekamatwa ?Leta video clip sisi tulikuwa tunaangalia live siyo mikutano yenu haionyeshwi live ila huwa mnaibuka na viclip vya kizushi tu.
Kwanini aliagiza wakamatwe?Binafsi nimehudhuria mkutano wa CCM kuanzia Bukoba Mjini na Biharamulo. Kagera na haswa Biharamulo wamejitokeza kwa wingi kumpokea mgombea wa CCM John Magufuli, yanayosemwa ni uzushi tu..ukweli usemwe, Kama hukua eneo la tukio usipoteze muda kubishana
Leta video clip acha mapovu! Uongo uongo tu!Kwanini wamekamatwa ?
Nyomi za wanafunzi zinakera kwa kuwa wanapotezewa muda na wengi si wapiga kuraNyomi za Magufuli zinakera!
Hasa Kwa wapinzani wake, zinawakera Sana aisee
Tulia wewe hao ndio wanaleta nyomi.Mbona huweki za Bukoba mjini hizi ni za njiani tu akisimamishwa na wananchi