Waislamu hawajui lugha nyingine yoyote zaidi ya fujo na machafuko!Fuatilia kuenea kwa dini hii ilikuwaje!Kwa sababu hii basi ili kuongea nao yapasa kufahamu lugha yao nayo si nyingine bali risasi za moto tu hamna lingine!Piga risasi kama ustadhi hapo juu basi ndio mtasikilizana!aisee hiyo picha nimeiweka screen server!Nimefurahishwa sana na reaction ya wanigeria!hamna longolongo chapa risasi za m******ni ndio maelezo baadae!hii teknik wanaiweza sana waisraeli;piga mabomu mpaka kieleweke!pole pole mtakaa sawa tu pumbavu!No to Mahakama ya KADHI(isomeke KAZI)no to OIC!
Sasa nani ni irrational hapa???
Baina ya wewe na wenzio waislamu waTanzania, nani ambao wanakaanga mbuyu za machafuko Tanzania kwa chuki zao???.
Mahakama ya kadhi ni kwa waislamu na kwa ajili ya masuala "civil" ya kiislamu, ndoa, mirathi, n.k, n.k ambapo waislamu wenye kuamini dini yao wanataka kuhifadhi dini yao kuvitendo katika mambo haya. "criminal" issues watatupiwa wenyewe serikali, au ndio husikii, huoni, wala hurationalise kwa chuki?
Katika mabadiliko haya ya kilimwengu hivi sasa hebu semeni nyinyi ndugu zangu wakiristo; Mtazuia vipi Mabaradhuli/******* kurithishana?, Mtamzuia vipi mpumbavu mwenye pesa au cheo kudai mwana/mtoto ndani ya ndoa yako ya halali na mkeo. Haya kama mategemeo yenu ya sheria ni katika mahakama za ki-secular? ambazo zinafungua njia kwa kutoa haki sawa kwa laana za namna hii, sahauni !!!
Nyinyi wakristo kama mnayaridhia hayo sawa, sijui mtasimamia wapi hapo nabii wa Mwenyezi Mungu Isa (Jesus) atakaposhuka?
Kwetu sisi waislamu, mirathi na ndoa ni mifano miwili ya taasisi takatifu za kijamii ambazo katika hii tunayoiita globalisation makafiri ambao wanajificha ficha miongoni mwenu nyinyi wakristo huku mkiwasherehekea, wanatamani kwa uvumba na udi kuyaweka masuala matukufu kama haya uchi, wazi na ovyo. Na kilichopo baina ya hayo malengo yao na morality of human societies which pose as a protective shield is, and will continue to be ISLAM and that why they must get rid of it. They use everything to make sure they eradicate it. They brain wash you to hate islam ambapo nyinyi wakristo hampo tayari na katu hamtaweza kuzuia destruction of just those two examples of moral issues at this globalization process.
Ewe mwanamke wa kikristo soon Civil/secular courts zitampa sawa mirathi ya watoto wako kwa ****** wake mumeo aliyemficha kwa muda mrefu. Kwa mahakama hizi za haki za binadamu za kimagharibi haya yanatokea yanakuwa accomodated ndani ya so called sheria zao, na mifamo ipo. Chini ya mahakama ya kadhi hakuna atakayesogea kuleta ufundo wa namna hii katika suala la ndoa na mirathi, na kama mamlaka itaongezwa basi adabu ya mabaradhuli wa namna hii is justifiably overwhelming.
Mzee Muafrika na wenzio, hiyo miwili ni mifano tu lakini mambo yapo mengi. Je hii inaweza kukufanya kufikiri?
Hivi kama una binti wewe na usithubutu hata kusema kwi!! pindi anapoponyoka na kuingia kuajiriwa kwa kuuzwa kama malaya? kuajiriwa sio uchangu doa? kama wanavyofanywa Las Vegas vile. Sijui uko wapi wewe bwana mkubwa lakini huku ughaibuni akikuitia polisi unaweza kulala ndani kwa ajili ya imani yako mwenyewe kwa binti yako, unayajuai hayo? Hebu fikiri baina ya mahakama hizi na mahakama ya "Sharia" kama mfano ya kadhi ipi inalinda jamii katika hili? Najua pengine unasema, si hiari yake, okay sema hivyo na inshaAllah Jesus atakapokuja tena au utakapofufuliwa sema hivyo hivyo na sisi waislamu tutasema tunavyosema "Ewe Mola, unajua fika kwamba ndugu zetu waTanzania walituua sisi kwa kiburi na chuki zao kwasababu tulisimama kidete kutaka kuweka hai uliyoyaamrisha". Tulianza kutaka mahakama za kutekeleza maelekezo yako, wakakataa kwa chuki zao, tukadaia zaidi tuakijua fika ni haki yetu wakakataa na sasa tena walifanya hivyo huku wakijiandaa wakijua kwamba kuna vijana miongoni mwetu wataloose temper, hivyo tena wakapata sababu na kutuangamiza sote"
Mzee mwafrika na wenzio mwenye macho haambiwi tizama. Fungua macho na akili itafunguka!!!