Fulana Mpya zaanza kutikisa soko la Nguo Tanzania

Fulana Mpya zaanza kutikisa soko la Nguo Tanzania

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Bado haijajulikana kwanini zimekuwa kivutio kwa kila mtu, na kutikisa soko la nguo haraka namna hii.

FB_IMG_1731914584983.jpg
 
Bado haijajulikana kwanini zimekuwa kivutio kwa kila mtu, na kutikisa soko la nguo haraka namna hii.

View attachment 3155133
wamesahau kuweka na ka alama ka chadema ili iwe nzuri zaidi washauri waboreshe ili zije zigombaniwe kama njugu pale kariakoo kama zile dela zilizokuwa zimetundikwa ukasema zinagombaniwa wakati hakuna hata mnunuzi aliyekuwepo eneo la tukio
 
wamesahau kuweka na ka alama ka chadema ili iwe nzuri zaidi washauri waboreshe ili zije zigombaniwe kama njugu pale kariakoo kama zile dela zilizokuwa zimetundikwa ukasema zinagombaniwa wakati hakuna hata mnunuzi aliyekuwepo eneo la tukio
Ushauri wako umekataliwa
 
Kuna huyu afu kuna Luka, ni Machizi kweli haya Mamtu. Zinatamba mitaa ya AI au mtaani kwenu mbona sisi hatuzioni?
 
Kina Janabi na wenzake waliheshimisha watu wembamba kwa habari za kula ili wasiwe wanene, huyu bonge naye anaheshimisha watu wanene. Ligi ya unene na wembamba inaendelea
 
Vipi hizo tisheti za wembamba nazo zipo au hizi ni maalumu kwa wanene tu?
 
Back
Top Bottom