Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Bado haijajulikana kwanini zimekuwa kivutio kwa kila mtu, na kutikisa soko la nguo haraka namna hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wamesahau kuweka na ka alama ka chadema ili iwe nzuri zaidi washauri waboreshe ili zije zigombaniwe kama njugu pale kariakoo kama zile dela zilizokuwa zimetundikwa ukasema zinagombaniwa wakati hakuna hata mnunuzi aliyekuwepo eneo la tukioBado haijajulikana kwanini zimekuwa kivutio kwa kila mtu, na kutikisa soko la nguo haraka namna hii.
View attachment 3155133
leteni tisheti za cdm.Bado haijajulikana kwanini zimekuwa kivutio kwa kila mtu, na kutikisa soko la nguo haraka namna hii.
View attachment 3155133
Sidhani kama ni yeye.Huyu ndio yule bonge deogratius watekaji walioshindwa kumteka kutokana na ubonge wake?
Ushauri wako umekataliwawamesahau kuweka na ka alama ka chadema ili iwe nzuri zaidi washauri waboreshe ili zije zigombaniwe kama njugu pale kariakoo kama zile dela zilizokuwa zimetundikwa ukasema zinagombaniwa wakati hakuna hata mnunuzi aliyekuwepo eneo la tukio
basi kakojoe ulale huna jipya na chadomo yakoUshauri wako umekataliwa
Hayabasi kakojoe ulale huna jipya na chadomo yako
Chadema hamna sera na mshatolewa kwenye reli sakata la kukatwa kwenye uchaguzi sio muda mbowe atakuwa cheyoBado haijajulikana kwanini zimekuwa kivutio kwa kila mtu, na kutikisa soko la nguo haraka namna hii.
View attachment 3155133
Wewe mama sio muda utapagawaBado haijajulikana kwanini zimekuwa kivutio kwa kila mtu, na kutikisa soko la nguo haraka namna hii.
View attachment 3155133
Chadema hamna sera na mshatolewa kwenye reli sakata la kukatwa kwenye uchaguzi sio muda mbowe atakuwa cheyo
Kwani hupendi?shida watu watanenepa