Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Unaambiwa ni hatari sana, hii ni baada ya duka moja la wachina kuanza kuuza fulana zenye picha ya Shujaa Magoma.
Unaambiwa baada ya muda mfupi mzigo wa kwanza ulioletwa ulipukutika kama vumbi kwenye kimbunga.
Mpaka tunaingia mitamboni mzigo mpya ulikuwa bado unasubiriwa