Fulana zenye picha ya Magoma zateka soko la Kariakoo

Fulana zenye picha ya Magoma zateka soko la Kariakoo

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Screenshot_2024-07-18-21-08-43-1-1.png


Unaambiwa ni hatari sana, hii ni baada ya duka moja la wachina kuanza kuuza fulana zenye picha ya Shujaa Magoma.

Unaambiwa baada ya muda mfupi mzigo wa kwanza ulioletwa ulipukutika kama vumbi kwenye kimbunga.

Mpaka tunaingia mitamboni mzigo mpya ulikuwa bado unasubiriwa
 
View attachment 3045873

Unaambiwa ni hatari sana, hii ni baada ya duka moja la wachina kuanza kuuza fulana zenye picha ya Shujaa Magoma.

Unaambiwa baada ya muda mfupi mzigo wa kwanza ulioletwa ulipukutika kama vumbi kwenye kimbunga.

Mpaka tunaingia mitamboni mzigo mpya ulikuwa bado unasubiriwa
ccmu wanataka fungua fursa kwa wachina
 
View attachment 3045873

Unaambiwa ni hatari sana, hii ni baada ya duka moja la wachina kuanza kuuza fulana zenye picha ya Shujaa Magoma.

Unaambiwa baada ya muda mfupi mzigo wa kwanza ulioletwa ulipukutika kama vumbi kwenye kimbunga.

Mpaka tunaingia mitamboni mzigo mpya ulikuwa bado unasubiriwa
Kisheria ni makosa.

Mzee akienda kuwashitaki atavuta mpunga mrefu kama fidia .
 
Watanzania wanajadili uongozi wa klabu ya mpira kuliko uongozi wa nchi yao. Hii inashangaza sana.
Ukiangalia channel nyingi za Youtube; kwa Tanzania ni kama 3% tu zinazoongelea mambo ya nchi kwa jumla wakati hizo nyingine 97% nizinaongelea mpira tu. Ni tofauti na Kenya ambapo channel zote zinaongelea mambo ya kitaifa tu.
 
Back
Top Bottom