Fulana zenye picha ya Magoma zateka soko la Kariakoo

Fulana zenye picha ya Magoma zateka soko la Kariakoo

Mzee anatakiwa apite na huu upepo wa umaarufu wa ghafla wa mtandaoni. Anaweza kunufaika kama yule dereva mkongwe.
Sahihi, Chukulia mfano mchina kauza Tshirt 1,000,000 kwa uchache, na kila moja ameuza kwa bei ya jumla mfano TZS. 3,000 tu.

Ambapo 3,000 x 1,000,000 = 3,000,000,000 (Bilioni Tatu), Si fedha ndo hii, Mhusika anapaswa kunufaika.
 
View attachment 3045873

Unaambiwa ni hatari sana, hii ni baada ya duka moja la wachina kuanza kuuza fulana zenye picha ya Shujaa Magoma.

Unaambiwa baada ya muda mfupi mzigo wa kwanza ulioletwa ulipukutika kama vumbi kwenye kimbunga.

Mpaka tunaingia mitamboni mzigo mpya ulikuwa bado unasubiriwa
Ndio nani huyo Magoma? Kafanyaje hadi unamuita shujaa?
 
20240718_140106.jpg
 
View attachment 3045873

Unaambiwa ni hatari sana, hii ni baada ya duka moja la wachina kuanza kuuza fulana zenye picha ya Shujaa Magoma.

Unaambiwa baada ya muda mfupi mzigo wa kwanza ulioletwa ulipukutika kama vumbi kwenye kimbunga.

Mpaka tunaingia mitamboni mzigo mpya ulikuwa bado unasubiriwa
Mchomoa Betri wa Kutukuka. Mkuu nami nazitaka hizi T-Shirts tena nyingi nyingi tu niwe Nazivaa kila Siku napata wapi?
 
Back
Top Bottom