Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Je mhusika ananufaika vipi?, Najaribu kuwaza kwa sauti.picha ya Shujaa Magoma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je mhusika ananufaika vipi?, Najaribu kuwaza kwa sauti.picha ya Shujaa Magoma.
Chadema wanatafuta Agenda na umaarufu kwa namna yoyote ile. Ila mzee kawa maarufu ghafla. Huyu mzee ni mtata sana na kafanana sana na mzee wangu Ishemwabula wa pale Kaishozi Karagwe. Naye mtata hivi hivi.Mpaka chadema mmeingia ktk huu mtego
Sidhani kama ni sawa kufanya hivi bila kumnufaisha mzee wetu. Nchi hii mtu from nowhere anakuwa maarufu tu.Je mhusika ananufaika vipi?, Najaribu kuwaza kwa sauti.
Mkata umeme.Mwamba huyu hapa
Sahihi, Chukulia mfano mchina kauza Tshirt 1,000,000 kwa uchache, na kila moja ameuza kwa bei ya jumla mfano TZS. 3,000 tu.Mzee anatakiwa apite na huu upepo wa umaarufu wa ghafla wa mtandaoni. Anaweza kunufaika kama yule dereva mkongwe.
Also uncertainty is catalyzed by people without their knowledge or deliberately, (wakati mwingine changamoto husababishwa na binadamu kwakutokujua ama kwa makusudi)Matatizo ya mtu mweusi ni yeye mwenyewe
Tena lipo upande huu, imekuwa nafuu! Ingekuwa linahusu upande uleeee.....ndio ungewajua wale ma UTOPOLO PLUS wanavyotapika!Wabongo tunapenda kutambaa na vitu vya hovyo hovyo...
Uongozi tutaujadili vipi wakati bungeni wanejaa wao na Mheshimiwa Nape ameshaweka kila kitu hadharani .Watanzania wanajadili uongozi wa klabu ya mpira kuliko uongozi wa nchi yao. Hii inashangaza sana.
Ndio nani huyo Magoma? Kafanyaje hadi unamuita shujaa?View attachment 3045873
Unaambiwa ni hatari sana, hii ni baada ya duka moja la wachina kuanza kuuza fulana zenye picha ya Shujaa Magoma.
Unaambiwa baada ya muda mfupi mzigo wa kwanza ulioletwa ulipukutika kama vumbi kwenye kimbunga.
Mpaka tunaingia mitamboni mzigo mpya ulikuwa bado unasubiriwa
TRUTHMatatizo ya mtu mweusi ni yeye mwenyewe
Mchomoa Betri wa Kutukuka. Mkuu nami nazitaka hizi T-Shirts tena nyingi nyingi tu niwe Nazivaa kila Siku napata wapi?View attachment 3045873
Unaambiwa ni hatari sana, hii ni baada ya duka moja la wachina kuanza kuuza fulana zenye picha ya Shujaa Magoma.
Unaambiwa baada ya muda mfupi mzigo wa kwanza ulioletwa ulipukutika kama vumbi kwenye kimbunga.
Mpaka tunaingia mitamboni mzigo mpya ulikuwa bado unasubiriwa
ZEE SUGUView attachment 3045873
Unaambiwa ni hatari sana, hii ni baada ya duka moja la wachina kuanza kuuza fulana zenye picha ya Shujaa Magoma.
Unaambiwa baada ya muda mfupi mzigo wa kwanza ulioletwa ulipukutika kama vumbi kwenye kimbunga.
Mpaka tunaingia mitamboni mzigo mpya ulikuwa bado unasubiriwa