Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Hapo chacha.Watanzania wanajadili uongozi wa klabu ya mpira kuliko uongozi wa nchi yao. Hii inashangaza sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo chacha.Watanzania wanajadili uongozi wa klabu ya mpira kuliko uongozi wa nchi yao. Hii inashangaza sana.
Noma sanaInashangaza si kidogo, kuanzia vijiweni, mitandaoni mpaka maofisini😢.
Sio kushangaza tu pia inahuzunisha.Inashangaza si kidogo, kuanzia vijiweni, mitandaoni mpaka maofisini😢.
Kabisaa mkuu tena vidogovidogoWabongo tunapenda kutambaa na vitu vya hovyo hovyo...
Duu nilikuwa namusikiliza wakili kumbe yanga imeshitakiwa Kwa katiba ya 2010 na Hilo nipungufu mojawapo kama kwasasa hawaitumiu, jingine lililo ibuka ni kuhusu Saini za kugushi nimemsikiliza vizuri mama Karume Kwa kutumika Saini yake ya kugushi pia kutoitwa mahakamani ama kupigiwa simuNdio nani huyo Magoma? Kafanyaje hadi unamuita shujaa?
Maybe wapinzani wachukue somo kwa hizi Timu (How to attract people) Tatizo wote waliopo sasa na waliopo Benchi wote hawaaminiki..., kwahio wewe subiri tu maji yakiwafikia shingoni ndio hapo utaelewa Ngũgĩ wa Thiong'o alimaanisha nini alivyosema Things Fall Apart....Watanzania wanajadili uongozi wa klabu ya mpira kuliko uongozi wa nchi yao. Hii inashangaza sana.
Kwa kuwa Mzee mwenyewe anapenda umaarufu hakuna shida. Kwanza anaonekana mtata😂😂Kisheria ni makosa.
Mzee akienda kuwashitaki atavuta mpunga mrefu kama fidia .
Wala hatakuwa na shida ya kugombania timu. Pesa ndio kila kitu😍😍Hii ni fursa kwake kuuaga umaskini iwapo atamkamata aliyefyatua t-shirt hizi
Ndiyo ujue Tanzania ni nchi ya kipumbavu sana! Tunajua kushabikia ujinga huku wabunge wakitufanya kitu mbaya!Unaambiwa baada ya muda mfupi mzigo wa kwanza ulioletwa ulipukutika kama vumbi kwenye kimbunga.