Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
ššššMatatizo ya mtu mweusi ni yeye mwenyewe
Kazi kweli kweli ila sio mbaya ukijadili hili pia.Watanzania wanajadili uongozi wa klabu ya mpira kuliko uongozi wa nchi yao. Hii inashangaza sana.
ccmu wanataka fungua fursa kwa wachinaView attachment 3045873
Unaambiwa ni hatari sana, hii ni baada ya duka moja la wachina kuanza kuuza fulana zenye picha ya Shujaa Magoma.
Unaambiwa baada ya muda mfupi mzigo wa kwanza ulioletwa ulipukutika kama vumbi kwenye kimbunga.
Mpaka tunaingia mitamboni mzigo mpya ulikuwa bado unasubiriwa
Kisheria ni makosa.View attachment 3045873
Unaambiwa ni hatari sana, hii ni baada ya duka moja la wachina kuanza kuuza fulana zenye picha ya Shujaa Magoma.
Unaambiwa baada ya muda mfupi mzigo wa kwanza ulioletwa ulipukutika kama vumbi kwenye kimbunga.
Mpaka tunaingia mitamboni mzigo mpya ulikuwa bado unasubiriwa
Ni kweli, sasa hatujui kama walimcheki kabla au laKisheria ni makosa.
Mzee akienda kuwashitaki atavuta mpunga mrefu kama fidia .
Noma sana MkuuKazi kweli kweli ila sio mbaya ukijadili hili pia.
Kila kitu kwa kiasi.
Ukiangalia channel nyingi za Youtube; kwa Tanzania ni kama 3% tu zinazoongelea mambo ya nchi kwa jumla wakati hizo nyingine 97% nizinaongelea mpira tu. Ni tofauti na Kenya ambapo channel zote zinaongelea mambo ya kitaifa tu.Watanzania wanajadili uongozi wa klabu ya mpira kuliko uongozi wa nchi yao. Hii inashangaza sana.
ChaiKisheria ni makosa.
Mzee akienda kuwashitaki atavuta mpunga mrefu kama fidia .
Inashangaza si kidogo, kuanzia vijiweni, mitandaoni mpaka maofisiniš¢.Watanzania wanajadili uongozi wa klabu ya mpira kuliko uongozi wa nchi yao. Hii inashangaza sana.