fareed uziel
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 657
- 710
1 year warranty
345,000Tsh tu
Call-0753038470
Tupo kkoo mtaa wa ndands
345,000Tsh tu
Call-0753038470
Tupo kkoo mtaa wa ndands
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu mkuuNikinunua haibadiliki nikifika home
Samahani Mkuu, mna inch 39 au 43? Na kama mnazo bei zake zikoje1 year warranty
345,000Tsh tu
Call-0753038470
Tupo kkoo mtaa wa ndandsView attachment 2043412View attachment 2043413
Hapana boss,tumeleza 32 tu kwa sasaSamahani Mkuu, mna inch 39 au 43? Na kama mnazo bei zake zikoje
Samahani Mkuu, mna inch 39 au 43? Na kama mnazo bei zake zikoj
Ni mpya au used Mkuu?Ninayo Sundar inch 43,full HD,smart tv,double screen,,ina Hotspot na Manicast, bei nzur 570000 tu,, kabisa bado mpyaaaa,,pia kuna dish na decoder ya Azam bei sawa na bure 110000
Mawasiliano na maelezo zaidi piga 0621047159
Hii TV inaitwa Europe hivyo hivyo😅1 year warranty
345,000Tsh tu
Call-0753038470
Tupo kkoo mtaa wa ndandsView attachment 2043412View attachment 2043413
Nitumie text ya kawaida,,hiyo namba niliyoweka haiko whatsapNi mpya au used Mkuu?
Nitumie text ya kawaida,,hiyo namba niliyoweka haiko whatsap
Yes ni europe strong,jamii sawa na boss,mr uk,star x na nyinginezo jamii kama hizo..sio brand kubwa kama SamsungHii TV inaitwa Europe hivyo hivyo😅
Ukakasi, Huo Na Tutalia NayeHii TV inaitwa Europe hivyo hivyo😅
Mengine yapi mkuu? unataka mtu abashiri unaongelea zipiSundar , Blackstone Na Mengine Yanatengenezwa Nchi Gani ?
Samahani Mkuu, me Namaanisha yani Mpya haijatumika kabisa au imetumika muda mfupi na ipo katika condition nzuri?Mpyaaaaa,,nitumie namba yako ya whatsap kwenye hiyo namba yangu nikutumie picha na video,,ni mtu ana shida tuu ndo maana inauzwa,,lakin dukan ni laki 8
Wewe sio mnunuzi maana ya biashara unawekewa mtandaoni ili kujua uhitaj wa wateja,,then unapewa contact,,sasa ww umepewa contact uwasiliane ili upewe maelezo yote unabaki unapiga siasa mtandaoniSamahani Mkuu, me Namaanisha yani Mpya haijatumika kabisa au imetumika muda mfupi na ipo katika condition nzuri?
Mpya ambayo haijatumika hata siku moja ipo,,750Samahani Mkuu, me Namaanisha yani Mpya haijatumika kabisa au imetumika muda mfupi na ipo katika condition nzuri?
Mkuu usipanick me nauliza kwakuwa najua biashara za mitandaoni zilivo na pia tunalitumia vibaya neno "MPYA" huwezi kujua kitu kama ni kipya kwa kuangalia picha yake au sura yake maana Kila mtu ana matumizi yake, wengine ni watunzaji wazuri na wengine sio watunzaji wazuriWewe sio mnunuzi maana ya biashara unawekewa mtandaoni ili kujua uhitaj wa wateja,,then unapewa contact,,sasa ww umepewa contact uwasiliane ili upewe maelezo yote unabaki unapiga siasa mtandaoni