VPN USED2020OCTOBER28
JF-Expert Member
- Oct 27, 2011
- 1,505
- 674
naonge kwa machungu sana kuona kwamba halmashauli ya jiji la mbeya walimu wapya mpaka leo hawajapata mishahara yao kama ilivyotegemewa hapo awali kama tanngazo la tamisemi lilivyotangazwa hapo awali
kitu nilicokiona hapa mbeya kama mwalimu mpya ni kwamba hawa maafisa utumishi ni wavivu wanazarau sana ni wazembe lakini pia wakurugenzi wa halmashauri mbalimbali ni kama wanajari mitumbo yao tuu
yaani inasikitisha sana toka hela ya kujikimu nayo tuipata kimazabezabe tu yaani mpaka wasikie meandamana ndo wanaanza kuogopaogpa hivi yaaani system ni zaidi ya mbovu
kitu nilicokiona hapa mbeya kama mwalimu mpya ni kwamba hawa maafisa utumishi ni wavivu wanazarau sana ni wazembe lakini pia wakurugenzi wa halmashauri mbalimbali ni kama wanajari mitumbo yao tuu
yaani inasikitisha sana toka hela ya kujikimu nayo tuipata kimazabezabe tu yaani mpaka wasikie meandamana ndo wanaanza kuogopaogpa hivi yaaani system ni zaidi ya mbovu