FULL TEXT: Hotuba ya Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA (T) na KUB kwa Umma wa Watanzania kuhusu Corona (COVID-19)

FULL TEXT: Hotuba ya Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA (T) na KUB kwa Umma wa Watanzania kuhusu Corona (COVID-19)

Hili ndo binafsi sihitaji kuliona ktk nchi. wanasiasa kudhania hata mambo ya magonjwa ni kazi yao kutuhutubia. mtu hana sifa anaamua tu kuandika na kuweka signature ya vyeo vya kisiasa ili tuamini ni sawa. Imefikia hatua watanzania ni watu wa kuhutubiwa na yeyote juu ya chochote. Bahati mbaya tunasikiliza kila kitu. Na hakuna asiye na wafuasi.

Mbowe hana sifa za kuzungumzia corona, Magufuli ana sifa hizo kwa nguvu ya kupata taarifa kutoka kwa maafisa wa serikali wanaohusika na taaluma hiyo. Ni vizuri sana wanasiasa watoapo hotuba hizo waandamane na wataalamu kama mganga mkuu wa serikali kujibu na kueleza mambo ya kitaalamu. Kwa ujumla wanasiasa hawana sifa za kuzungumzia undani wa COVID-19. Ifikie hatua kutoa hotuba iwe ni kazi ya wenye taaluma.

COVID ni suala la Kitabibu na siyo kila asiyeweza kukamatwa anatoa hotuba. Tungefurahi kama Chama Cha Madaktari kingetoa msimamo wake juu ya hili, kama limekuwa ni baya kiasi hicho. Lakini kujidai kutuhutubia na kukosoa na kupendekeza, ni kutafuta sifa za kijinga. Eti kiongozi wa kambi ya upinzani, so what?
 
Katika vitu huwa vinafanya umtambue mtu hekma yake na uelewa wake ni pamoja na mitizamo yake. Kiukwel mh MBOWE hakutakiwa kushawishi njia ambayo kila mtu ameanza kuiacha kuitumia kwa kutokuonesha matunda yoyote mazuri

Ukiwa Kama kiongozi mkubwa unaeota siku moja kuwa kiongozi wa nchi hutakiwi kuonesha ujinga mbele ya wananchi unaowategemea wakuamini ili baadae wakupe dhamana ya kuwaongoza.

Kiongozi muda huu wa matatizo hatakiw kuonekana kua anataka kutumia matatizo ya wananch wake ili ajinufaishe kwa maslai yake. Ukiwa Kama kiongozi hutakiw kuatarisha maisha ya unae muogoza kwa njia yoyote Ile na inatakiwa utoe haki sawa kwa levo zote.

Yeye Kama kiongozi hakutakiwa kulazimisha serekal ifanye Lock down Kwan hii ni njia moja hatari Sana kwa raia maskini Kwani hata ukisema wapewe pesa hujui janga litaisha Lini na serikali itatoa pesa mpaka Lini? Na vipi baada ya Corona watanzania wataishije au mfano wewe ukiwa umesha chukua nchi utaiongoza vip bila pesa? Si ndio itakuwa hospitali madawa hakuna. Miundombinu kuwa mibovu. Njaa kibao watu kukosa mishahara Yao na matatizo mengine. Au unataka Hali iweh ivi

Wewe Kama kiongozi mkubwa umeshindwa kuelimisha watu njia nzuri na muhim Sana ambayo inaenda kutumiwa na watu wengi. Kiongozi ulitakiwa uanze kutoa elimu kwa nguvu zote ya kuelimisha watanzania kuhakikisha wanajikinga kwa kuvaa mask na kuosha mikono kila wakati Kinga ambayo ingeweza kulinda maskini na tajiri wote kwa wakati mmoja ulitakiwa ulazimishe serikali labda ihakikishe inagawa barakoa kwa raia bure na sanitizer ili kujikinga na Sio kuforce watu wakae ndan ok tuseme serikali imefata Kama mnavyotaka watu wakae ndani Ila vipi wale watu ambao mitaji Yao inategemea yeye kuwa kwenye mizunguko vipi lock down ikiisha na chakula Cha bure kutoka serikalini kika stop umeshawaza huyo mtu ataanzaje upya Maana baadh ya kazi za watanzania wengi zinataka kila siku uwepo ukimiss hata siku moja unakuwa umesha toka kwenye Ramani

Viongozi wote TANZANIA mlitakiwa muwe namba moja kusimama na raia na siku kusimama kupingana na hoja za rais. Tarehe moja Trump katangaza kuwa ndio mwisho wa Lock down watu watatembea Ila wavae barakoa na wawe wanasafisha mikono Yao Sasa nchi Kama Marekani inayoongoza kwa vifo na wagonjwa imeona Lock down haisaidii Ila inaharibu watu uchumi na akili wewe kiongozi wa juu Tanzania kila siku unalilia lock down au ndio mtoto akililia wembe muache umkate

Kwanini msianze kulia ofisi yenu inayowapatia posho kila siku ifungwe. Na japo kuwa tayari mmesha wapoteza wapendwa wenu wawili umo humo ndani lakini mnajifanya Kama hamuoni ila macho yenu yote yanaona Kariakoo na feli watu wanapojipatia Mia mbili mbili zao ingekuwa kweli mnataka nchi isiingie matatizoni kwa njia ya Lock down mngekuwa mnapigia debe ofisi yenu ifungwe Kama mnavyo pigia debe vitu vingine.

Tanzania ndio nchi pekee Kuna baadhi ya watu wanaweza kujikinga Corona kwa barakoa na kunawa mikono wengine hawawezi njia hiyo ila wao wafungiwe ndani mpaka ugonjwa utakapo Isha

Kiongozi Kama kiongozi Sasa hivi hutakiwi kupambana na hoja za rais kisa kuogopa kumpa credit Ila unatakiwa kuungana na rais ili kusaidia wananchi kiongozi yoyote Yule TANZANIA anatakiwa nguvu aelekeze kwenye barakoa na sanitizer au maji kutirirka na hii ndio njia sahihi wanayo umia China India na nchi zingine lock down ni usanii tu MAREKANI alifungia watu ndani akiwa na wagonjwa 1230 na vifo 270 angalia takwimu leo zinasemaje

Ahsanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni aibu kwa amiri jeshi mkuu kujificha wakati wa vita.
 
Na vile vile ni Aibu kwa Mtu Mpuuzi tu kama Wewe na huyo unayemtetea Kuficha Wanaougua huku mkikimbilia Vijijini mwenu!!
 
Viongozi wa upinzani wanajidai wanawapenda watz lakini ni siasi, kuongoza nchi si mchezo hasa nchi masikini na changamoto ni kwenye magonjwa makubwa ya miripuko kama haya, ni bora corona kuliko njaa hatukaa ndani kujikinga na corona ilihali tuna njaa tutatoka tu, au tukae ndani kisha uchumi wetu uwe mbaya zaidi itakuwaje tutao baki tutabaki hakuna magonjwa yaliyo wahi kuua watu nchi nzima, we will fight until last breath...

Sent using Jamii Forums mobile app
Uganda , Kenya , SA na Nigeria wamekufa wangapi kwa njaa .............pia mtofautishe curfew na Lockdown .......muwe mnajiongeza.........watu wanaweza kuendelea na taratibu za maisha kama kawaida kwa kuzingatia social distancing.....kuzuhia muingiliano kati ya maeneo ambayo ni corana virus epicenter na maeneo yasiyoathirika sana kukontroo community transimission pia victim tracing

Tulianza vizuri na victim tracing baada ya kupata mgonjwa wa kwanza ikishafeli lazima ufanye curfew ambayo ni partial lockdown na inakuwa na some limitation hasa muda wa kuwepo mtaani ,baadhi ya maeneo yanayotumiwa na watu wengi kupangiwa utaratibu maalumu wa watu kupata huduma mf sokoni na victim tracing ikiendelea changamoto ya hii inahitaji sana mass testing kwani mtu hakipimwa na kukutwa negative na kama anajielewa ataji-lockdown automatically.

Ikishindikana ndio tunaweza kwenda katika total lockdown
 
Ni mpumbavu pekee anayeweza kufananisha USA na Tz. Wenzetu wanapima mpaka 100k kwa siku sisi sijui wanane alafu unakuja kusema mbna USA wamefanya locdown maambukizi na vifo ni vingi? Unajua idadi ya maambukozo Tz?

Wenzetu wanatoka locdown coz wameshachukua measures tyari ikiwepo na mass testing. Wanatoka lockdown coz wameshafurmigate miji yao. Tz imefanya nini?

Mbna huongelei china. Si ilikuwa lockdown je sasa ipo lockdown? Vifo vimeendelea?

Nyie ndyo wazazi waliuza ngombe ili kupeleka ngombe shule.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika point nilizokuwa nataka kuandika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbowe Ni mpuuzi tu watakao msikiliza ni misukule yake tu wenye akili tunampuuza
 
Mbowe hajalazimisha lockdown huu ni upotoshaji mwingine, ameongelea mambo Mengi ya msingi ikiwepo bunge kutenga bajeti kwa ajili ya corono

Tatizo la nchi hii tunafanya propaganda Hadi kwenye Mambo ya msingi, lakin tusisahau corona haichagui wala kubagua inapiga kote kote in short hakuna aliye salama
 
Kakudanhanya Nan mkuu kwamba wamesah maliza kupima marekan Kuna watu wangap na wamesha pima wangap au na wewe unakuja kuongea ulio ambiwa na kusikia

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawajamaliza lakin wanakaribia. Tofauti na sisi wao wanafanya massive testing ktk scale kubwa sana.
Hii ina include hata wale wanaoonekana ni wazima.
Sisi huku mpaka mtu awe na dalili au azidiwe ndio anafanyiwa vipimo.
Kuna tofauti kubwa sana hapa. Wenzetu wana uwezo.. sisi bado

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mpumbavu pekee anayeweza kufananisha USA na Tz. Wenzetu wanapima mpaka 100k kwa siku sisi sijui wanane alafu unakuja kusema mbna USA wamefanya locdown maambukizi na vifo ni vingi? Unajua idadi ya maambukozo Tz?

Wenzetu wanatoka locdown coz wameshachukua measures tyari ikiwepo na mass testing. Wanatoka lockdown coz wameshafurmigate miji yao. Tz imefanya nini?

Mbna huongelei china. Si ilikuwa lockdown je sasa ipo lockdown? Vifo vimeendelea?

Nyie ndyo wazazi waliuza ngombe ili kupeleka ngombe shule.

Sent using Jamii Forums mobile app
Majibu yako Ayo hapo
IMG-20200430-WA0000.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa hyo lock down ndo dawa ya corona?.
Mbona China wagonjwa bado wapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
China wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa just by lock down.
Lock down yao imedumu almost two month.
Leo hii wanafungua mji baada ya maambukizi kupungua kwa asilimia kubwa sana.
Wasingejiweka lockdown hali ingekuwa mbaya zaid kuliko walivyotangaza mwanzo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbowe nae ashauri mambo ya msingi anajua kabisa Serikali haina pesa halafu kakazania watu wajifungie....
Serikali haina pesa wakati mmenunua ndege kwa cash, miradi yote mikubwa inajengwa kwa pesa za ndani?!!!

Au mnajitia wendawazimu wa kutembea uchi mkijiona mmevaa nguo!!!

Zile tirions za barrick zipo wapi?
Je hii siyo donner country?

TUONDOLEENI USHENZI WENU HAPA.
speech ya Bowe mtu anayetakiwa kuichamba ni kichaa peke yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom