hii ni aibu kubwa sana kwa kanisa ,kila jumapili tumaimba toa ndugu toa ndugu ulichonacho wewe na tunatoa kumbe wakitoka wanakula mlungula wa escrow .Kilaini umelitia aibu sana kanisa
hii ni aibu kubwa sana kwa kanisa ,kila jumapili tumaimba toa ndugu toa ndugu ulichonacho wewe na tunatoa kumbe wakitoka wanakula mlungula wa escrow .Kilaini umelitia aibu sana kanisa
Askofu Zangu Kilaini Na Nzigiwa Asanteni Sana Sitatoa Sadaka Tena Tena Na Wote Wawili From This Time Naenda Kuwa'unfriend Kule Fb. Very Sad N Disappointed My Faith Has Shaken.
Hawa jamaa wamejipanga naona Deo Fulikunjombe hata maji anakunywa aliyofunguwa mwenyewe sealed na siyo ya kwenye glasi wamwekee sumu.
Bado tu?ripoti imesimama! ila sijaona sehemu inasema watuhumiwa wafungwe!
Naona leo kila jukwaa limehamia siasani he he heeeee!! Inaudhi na kuleta hasira sana shosti
Ningependa kujua, ni wakati gani wa juma hilo pesa zilichukuliwa? Usiku au Mchana?
Anaweza kuanguka bado hajamaliza kusoma ripotiAangalie sana make hata hayo yaliyo sealed huwa yanachomwa sindano....
Askofu Zangu Kilaini Na Nzigiwa Asanteni Sana Sitatoa Sadaka Tena Tena Na Wote Wawili From This Time Naenda Kuwa'unfriend Kule Fb. Very Sad N Disappointed My Faith Has Shaken.