Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Deo ana speed ndogo kweli..!
Kwenye wallet tu mtu wangu!! Mi kesho naandamana peke yangu na bango langu!! Potelea mbali wanaiue
Zitto ni kijana shupavu sana. Uchambuzi wa ripoti ya CAG unaweza kufanywa na wabunge wachache kwa umahili wa namna hii. Sikupendezwa (binafsi) na tuhuma za Zitto kutumika na MaCCMwigulu. Zitto nadhani ajiweke sawa, kwa akiri makosa kama alifanya na aape kutokutumika tena arudi CHADEMA akapige kazi. Nitafurahi kama Zitto ataweza kumaliza mgogoro na CHADEMA.
Mtu mwenye akili ya kawaida anaweza kuhoji ni jinsi gani Zitto alikuwa anatumika na hali anafanya kazi na timu kubwa ya CCM na Zinazokwenda against na almost ku-destroy image ya CCM. Zitto atapotea kama Sitta alivotaka kujipotezea CCJ kabla hajajipoteza mwenyewe kwenye katiba mpya.
Hayawi hayawi sasa yamekua ..
mnaomtakia mabaya Mh. Pinda a.k.a mtoto wa mkulima sasa mmeumbuka
Pinda msafiii .. hajakomba hata Tsh ya Escrow .
Movement ya Mtoto wa mkulima kuelekea Uchaguzi mkuu , bado upo pale pale .
We better talk with evidence .
Mtaona aibu sana mwaka huu.Hata me naona aibu kwelikweli, duh!
M*****ndu wako
Mkuu atafanya ivo kwa mda gani.kikubwa ni ulinzi wa MunguHawa jamaa wamejipanga naona Deo Fulikunjombe hata maji anakunywa aliyofunguwa mwenyewe sealed na siyo ya kwenye glasi wamwekee sumu.
Amejisulubu kwa kauli zake. Kma alitumwa ndio matokeo yake hayoSasa ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini anasulubiwa..