Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Nilipowaambia mafisadi heiiiii shoka limewekwa kwenye mti they could not hear my voice; nikawaambia nipo na miguu yangu imejikita kuzuia ufisadi ili taifa lenye hadhi n heshima yake lirejee they thought was dreaming; nikarudia tena kwenye moja ya thread iliyookoa maisha ya kiongozi mmoja kuwa mwishoni mwa mwaka huu masikio yenu yatawasha they tossed their glasses; sasa nawaambia tena tafadhali halahala mti na macho enough is enough sisi lazima tuile pasaka baada ya krismas I do not know if you would now agree its a new era....

Mwenye sikio na asikie roho ya Mungu aliye hai aliambia Taifa la Tanzania!
 
Zitto ni kijana shupavu sana. Uchambuzi wa ripoti ya CAG unaweza kufanywa na wabunge wachache kwa umahili wa namna hii. Sikupendezwa (binafsi) na tuhuma za Zitto kutumika na MaCCMwigulu. Zitto nadhani ajiweke sawa, kwa akiri makosa kama alifanya na aape kutokutumika tena arudi CHADEMA akapige kazi. Nitafurahi kama Zitto ataweza kumaliza mgogoro na CHADEMA.
Mtu mwenye akili ya kawaida anaweza kuhoji ni jinsi gani Zitto alikuwa anatumika na hali anafanya kazi na timu kubwa ya CCM na Zinazokwenda against na almost ku-destroy image ya CCM. Zitto atapotea kama Sitta alivotaka kujipotezea CCJ kabla hajajipoteza mwenyewe kwenye katiba mpya.

Hakuna mtu anaweza thibitisha tuhuma za Zitto. Thibitisheni kwanza. Huwezi omba msamaha kama hujakosea.
Natural justice.
 
M*****ndu wako
Hayawi hayawi sasa yamekua ..
mnaomtakia mabaya Mh. Pinda a.k.a mtoto wa mkulima sasa mmeumbuka

Pinda msafiii .. hajakomba hata Tsh ya Escrow .

Movement ya Mtoto wa mkulima kuelekea Uchaguzi mkuu , bado upo pale pale .

We better talk with evidence .
 
We mjinga, tena zuzu.

Yeye hata kama hakuchukua hata senti moja lakini alijua kila kilichokuwa kikiendelea maana yeye ndiye msimamizi mkuu wa shughuli ZA serikali na akatulia
 
Marry Ngowi, Kamati imependekeza kuwa watuhumiea wafilisiwe, waliopo kazini wafukuzwe kazi na akaunti zao zifungwe na warudishe fedha hizo!
 
Last edited by a moderator:
Hii ripoti hadi sasa inawataja Maswi, Pinda, Sethi kwa majina kama watuhumiwa...
 
Back
Top Bottom