Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Nimefurah sana na hapa sasa hata akiahirisha bunge ni haki kabisa.
 
Aib
u hawak
uipata walipo lawiti watoto, wanaipata kwa kwa k
uiba hela. Sishangai d
unia ya vipof
u wanaotegemea roho wa M
ung
u k
ukaa mahali pachaf
u!
 
sikujua kwa nini benki ya mkombozi ilianzishwa kwa mbwembwe kubwa. jamani ndo ata hawakuwa mbele kuilaumu serikali hii ya wahuni kt suala la escrow??? looool
 
Aibu kwa maprof wa TZ. Mwisho wa ubaya ni fedheha. Ushauri ni kwamba afungashiwe virago
 
Walisema na Mbowe yumo, vp me sijamsikia vp nyie wenzangu.
 
Askofu Zangu Kilaini Na Nzigiwa Asanteni Sana Sitatoa Sadaka Tena Tena Na Wote Wawili From This Time Naenda Kuwa'unfriend Kule Fb. Very Sad N Disappointed My Faith Has Shaken.

Nasubiri kanisa litoe tamko kupitia baraza kuu la maaskofu ili kulinda hadhi na heshima ya RC, baada ya hapo nitaweka msimamo wangu juu ya suala hili, mpaka sasa kama muumini niko njia panda
 
Wapo wapi jamaa wa lumumba MSALANI and the likes come pande hizi

Bi Mkubwa FaizaFoxy ukweli umesemwa njoo pande hizi utowe ile maneno yako ya kuhoroja na kuhorojeka mam
 
Last edited by a moderator:
Kanisa wala halijaaibika

Aloaibika ni kilaini na mwenzie

Yuda alipokea vipande 30 akamuuza yesu mnashangaa hao....

Pesa ni shetani ooh



 
Tumeaminishwa benki hiyo ni asasi ya kutakatisha fedha. Hii ni pamoja na stanbic
 
Nimecheka sana mkuu hata hivyo yesu hajawah kufa bwana.
Tuache mambo ya imani, twende kwenye escrow ambayo nilisema ni kokoro. Watu hawana hata aibu wanagawana pesa kwa magunia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…