Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa Piga tu na yeye leo ka PIGWA TUUUU
Huyu Deo ana speed ndogo kweli..!
Kwaheri CCM....Kwaheri ya kuonana
Askofu Zangu Kilaini Na Nzigiwa Asanteni Sana Sitatoa Sadaka Tena Tena Na Wote Wawili From This Time Naenda Kuwa'unfriend Kule Fb. Very Sad N Disappointed My Faith Has Shaken.
Habari za Escrow zimeshaisha, Watanzania kesho watakuwa wamesahau
AIBU HII YA KANISA KATOLIKI KULAMBA MAMILIONI YA ESCROW!! Askofu Methodius Kilaini ametuvua nguo Wakatoliki wote, siyo tu Tanzania, bali Dunia nzima kwa ujumla! Amelamba 80M/= za ESCROW. Hii ni fedheha na aibu kubwa kwa Kanisa hili lenye kimbelembele cha kuwanyooshea vidole wengine kwa Ufisadi. Ama kweli hujafa hujaumbika, Askofu Kilaini na Mwenzake aliyelamba Milioni 40 wametutia aibu nzito Wakatoliki wa nchi hii. Shame on Kilaini, shame on Kanisa!
Tuache mambo ya imani, twende kwenye escrow ambayo nilisema ni kokoro. Watu hawana hata aibu wanagawana pesa kwa magunia!Nimecheka sana mkuu hata hivyo yesu hajawah kufa bwana.