Naamini kuwa serikali inamwogopa Chenge. Huyu Chenge a.k.a nyoka wa makengeza alipiga hela za rada akaficha visiwa vya new jersy hata serikali ilipojua ikagwaya. Kapiga za Escrow hata akatangaza kuwa bil.1.6 ni vijisent tu bado serikali imegwaya. Hata kwenye upelelezi hayumo. Namwomba namba moja amsweke ndani au awaachie wote walioko mahabusu.