Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Mie leo namkubali Zitto kwa uzalendo

Hawa akina ZITTO jana usiku hawajalala wamekesha ofisi za bunge kulinda report yao, ila maisha yake bila shaka yatakuwa matatani. Akumbuke kilichomkuta MWAKYEMBE
 
zitto ana ongea kwa confidende na zile kombati za cdm ana pendeza kweli daah sema ndio hivyo tena hatu mtaki cdm.

Bado tunamtaka sana chadema sio mali ya mtu binafsi na mali ya wanachama wote
 
Huivi ile radio ya Arusha on line nani ana link yake?
 
Mimi kusomwa tu kwa ripoti hiyo ya escrow napata ahueni maana leo ntawajua japo kwa majina wezi wa kodi zangu.
 
Hivi Mdakuzi unafuatilia hili balaa la leo?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom