Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

huyu singasinga hajatoroka kweli? maana haya madudu aliyo yafanya hastahili hata kuishi.
 
Jamani si angesoma Zitto hadi haya mapendekezo! Deo sauti imepoaaa!
 
Filikunjombe Sijui anaumwaaaaa!!!! Amepooza sana aaaahh bora angeendelea tu ZZK
 
Fedha zilozoibwa ni za umma na zirudi BOT!!

mama Tibaijuka bring our money back!!
 
Wavuliwe nyazfa zao zote na kufilisiwa hapo hapo
 
Duuuu hayo mapendekezo noma safiiii
mamaee
 
Deo namna gani hapa mbona amepooza sana au hana uhakika na usalama wa maisha yake nini?
 
Back
Top Bottom