Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

"Mheshimiwa Spika, Kamati
inapendekeza kuwa Mamlaka
yake ya uteuzi itengue uteuzi
wa Waziri wa Nishati na Madini
kutokana sababu hizo
zilizoelezwa."....Mengi chukua hii
 
Waziri mkuu,ulikuwa wapi wakati yote haya yanatokea?
 
...sasa nimeelewa kuwa tumbili na wezi ni hao hao!
 
zamu ya mzee wa kulialia anabanwa hapa
 
Hahahahahahahaha star tv noumer! Wameweka split screen. Huku Werema huku Kafulila!!

Hahahahaha! U judge mwenyewe nani TUMBILI SASAAAA!!

This is the most pleasant event in my country!!!
Naomba wadau wa JF tukutane hata Escape 1 ijumaa hii tufurahi kidogo. Mimi natoa laki 2 offer vinywaji watoto wa kike tu!!!!
 
Back
Top Bottom