Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

leo kuna watu hawotopata usingizi,sipati picha Mzee wa miamba
 
Tusubiri,THE REVENGE kesho.
kuna watu wataumbuka hapa.
 
hatimae bunge laahirishwa hadi kesho saa 3 asubuhi
 
Bunge litaendelea kesho, watuhumiwa wamepewa muda wa kujitafakari na kuandika barua za kujiuzuru.

LOWASSA COME BACK.
 
Fedheha iliochanganyika na aibu kubwa mno.

Pesa hizi ukiziendekeza!
 
Habari za Escrow zimeshaisha, Watanzania kesho watakuwa wamesahau

Bunge limeahirishwa tu we kijana, kauli ya serikalina mjadala ni kesho....

Leo ulikuwa ni uwasilishwaji tu wa ripoti ambayo kwa kiasi ni ushindi kwani wapo waliotaka hata hii ripoti isisomwe...
 
Ukweli umebainika, sasa tumewajua wezi wetu, je, tutawafanya nini? Upepo utapita.
 
Benki ya Mkombozi inaonesha majina isipokuwa ile ya Benki ya Stanbic haina majina zaidi ya nambari za akaunti pekee...

Ilipaswa walau majina yawe wazi hata kwa wabunge pekee maana hakuna sababu ya kuwatuhumu kwa kuwaficha hao wakwapuaji waliopewa fedha na JR...
Mkuu majina yalioyoonekana yametajwa yote hata Saliboko katajwa, Kimiti katajwa, Kilaini katajwa, chenge katajwa, mama wa TRA katajwa, prof. Tibaijuka katajwa.
 
Wakati mwingine naipenda nchi hii.!

LOWASSA COME BAAAACKKKKKKK!!
 
Back
Top Bottom