Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
Mamelod wanachukua ndoo🙏😂🤣Lini final ya Africa Football League itachezwa baina ya Mamelodi Sundowns vs Wydad Casablanca?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mamelod wanachukua ndoo🙏😂🤣Lini final ya Africa Football League itachezwa baina ya Mamelodi Sundowns vs Wydad Casablanca?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mamelod wanachukua ndoo🙏😂🤣Lini final ya Africa Football League itachezwa baina ya Mamelodi Sundowns vs Wydad Casablanca?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Makolokolo SC fans watakupopoa Ndugu yangu maana walijiandaa kututukana Wananchi kuwa wao ni wa kimataifa wakiwa na matarajio Al Ahly atamtoa Mamelodi Sundowns, kilichowapata hadi hivi sasa ni "shangilia lakini usiniguse" [emoji124][emoji4]Ndio unavyojifariji kwa mtindo huu?
shida ya uto wenye akili ni wawili tu af mpira mnaojua ni wa magazetini tuHili ndiyo pira objective sasa maana hata sisi Makolokolo SC huwa tunashinda au kusuluhu lakini hatufurahiagi kabisa pira biriani zaidi ya pira papatu papatu [emoji16]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Haukufungwa sijui kwanini haukuingia fainaliNilifungwa???
Tulia
Afu baada ya kushinda ikawaje wewe Kolowizards?shida ya uto wenye akili ni wawili tu af mpira mnaojua ni wa magazetini tu
kwanza unapaswa kujua kuwa Simba ndo timu pekee iliyofunga bao kwenye huo uwanja wa Cairo kwenye ayo mashindano.
Mambo ya kulazimishana yameanza liniKwanini waarabu hamuwapendi!! Imagine Mamelodi anacheza na chelsea au man u au enyimba, hivi mtafanya kama ilivyo kwa waarabu!! Huu ubaguzi sijui lini utaisha
Mwamba MudauView attachment 2800623chuma cha pua hiki hapa, waarabu watasimulia
Na ndio timu pekee iliyo fungwa kwenye huo uwajashida ya uto wenye akili ni wawili tu af mpira mnaojua ni wa magazetini tu
kwanza unapaswa kujua kuwa Simba ndo timu pekee iliyofunga bao kwenye huo uwanja wa Cairo kwenye ayo mashindano.
Hatari sana huyu Mwamba.. amefanya ukuta ukatulia sana.Khuliso Mudau ni bonge la fullback
Mwamba kafanya kazi yake vyema kabisa.Mwamba Mudau
Leta score boardNa ndio timu pekee iliyo fungwa kwenye huo uwaja
Hilo goli halikuwa worldcup chief?Mamelodi alinyimwa penalti ya wazi kabisa !
Yote kwa yote nimefurahi Ah Ahly ametolewa .
Walikuwa Wanasubiri mbeleko ya refa dakika za lala salama var ikawaumbua.
Aliyegundua var Kweli Ana maarifa mengi na kama sio bao la Frank lampard kusawazisha dhidi ya ujerumani Kwenye Euro likakataliwa pengine tusingeona var kwenye football au ingechelewa kuingizwa.
Uwanja wa Cairo uliojaa watu 50000 dakika za mwisho ulikuwa kimya kama hakuna washangiliaji.
Hakika mamelodi alikaza sio Suala la mchezo Al ahly kutolewa kwake.
Labda mamelodi ya moden taarabMamelodi huwa anatolewa kwa figisuu, na Dunia nzima inajua hilo.
Wala haitokua ajabu.
Ila mwsho wa siku Mamelodi atachukua ubingwa wa AFL
Limewapeleka wapi?shida ya uto wenye akili ni wawili tu af mpira mnaojua ni wa magazetini tu
kwanza unapaswa kujua kuwa Simba ndo timu pekee iliyofunga bao kwenye huo uwanja wa Cairo kwenye ayo mashindano.