Full Time: AFL: Al Ahly 0-0 Mamelodi Sundowns (Agg 0-1) | Cairo International Stadium | 01.11.2023 |

Ndio unavyojifariji kwa mtindo huu?
Makolokolo SC fans watakupopoa Ndugu yangu maana walijiandaa kututukana Wananchi kuwa wao ni wa kimataifa wakiwa na matarajio Al Ahly atamtoa Mamelodi Sundowns, kilichowapata hadi hivi sasa ni "shangilia lakini usiniguse" [emoji124][emoji4]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Hili ndiyo pira objective sasa maana hata sisi Makolokolo SC huwa tunashinda au kusuluhu lakini hatufurahiagi kabisa pira biriani zaidi ya pira papatu papatu [emoji16]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
shida ya uto wenye akili ni wawili tu af mpira mnaojua ni wa magazetini tu

kwanza unapaswa kujua kuwa Simba ndo timu pekee iliyofunga bao kwenye huo uwanja wa Cairo kwenye ayo mashindano.
 
Hilo goli halikuwa worldcup chief?
Na nakumbuka lilizaa goal line technology not VAR
 
Poleni sana wakamaria
 

Attachments

  • Screenshot_20231102_004534.jpg
    27.3 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…