shirikisho ni kimataifa walio feli, kimataifa yenyewe yupo mwananchiHIzi mambo za kimataifa mwachieni Simba ona sasa hata robo hamfiki
Na ile ya tp na alger je vipi???Hii mechi ina viashiria vya udanganyifu Caf waichunguze
Yanga kwetu kibarua ni bado kizito sanaaa. Hata kama hii iishe tumeshinda ,bado tuna kimbembeSimba amefuzu,nawaombea Yanga washinde ili game ya mwisho wapambane washinde na wafuzu na wao
Vyura wapite waende wapi? Safari yao inaishia leoSimba amefuzu,nawaombea Yanga washinde ili game ya mwisho wapambane washinde na wafuzu na wao
Hili la kuhongana mbona lilishasemwa kabla ya hii mechi kuanza.Tayari huko. Muda si mrefu zitaanza nyuzi za GSM kuharibu CAFCL.
Ila ndio mnajitamba kuwa mlipata medal ya runner up wehu nyieshirikisho ni kimataifa walio feli, kimataifa yenyewe yupo mwananchi
Asante kwa kushirikiHii ndio game sasa achana na yale mashindano ya umiseta
Nimeendelea bana
[/QUwe unatutag mkuuNimeendelea bana
Soma ubao mtaniAsante kwa kushiriki
Team workPacome leo beki