Mr Devil
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 12,445
- 27,920
Kuna mmoja apo kafanana na predator
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mmoja apo kafanana na predator
Ndio maombi yangu hayo,Ombea vyovyote itakavyokua Yanga leo tupate point 3 kapuni
Al Hilal wanamiguvu sana.Ga
GAme ngumu hii
Yes, Holi moja bado halina guarantee, Yanga wajitahidi kuongeza goli lingine kupunguza presha ya gameGame ngumu sana hii
Aisee😬Wote wawili ni yanga hao
Ndio, nataka nikuoe mimiUnataka kunipa mume mkuu?
Anazingua sanaKarumugisha sijui katumwa
Hawa jamaa sio kawaida yao kufunguka hivyo wakicheza na Yanga.Ga
GAme ngumu hii
Lions are always predatorKuna mmoja apo kafanana na predator
Hiyo El Classico mbona ndo takataka kabisa! Mtu kafa 4 first half, niangalie nini sasa!?Yaani mtu anaacha kuangalia Elclassico anaangali haya mataktaka ya Tanzania?
Engineer hajamuonaAnazingua sana
Nauza CalculatorKuna tofauti kubwa kati ya pilau na makande,ule ulioisha yalikuwa makande
Huu ni ushabiki wa kishamba na kilimbukeni. Zama hizi utoe Rushwa CAF wasijue uje ujue wewe huko Mugumu Serengeti?GSM ameshamaliza kazi kamdakisha Ibenge $500,000 ili apange kikosi cha pili mechi haitakuwa na mvuto.
Sawa ndoa iwe hata usiku huu, am ready😄Ndio, nataka nikuoe mimi
Nauza Calculator