Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hizo hongo yanga anazitoa wapi mkuu za kumpa kila mtu 😀😀😀Huyu girumugisha hajapewa hela yake nini, mbona pekee yake ndio ana moto hivi, watani mpeni hela yake huyu kijana, itakuwa ibenge kamdhulumu hajamgawia. 🤣😂
Dube nilishasema ni usahili Mbovuu sanaHuyu Dube ndo striker wenu!!!??? Mna safari ndefu sana. Anyway, NAUZA CALCULATOR
Ana utoto mwingi mnoo 🤣Huyu mtangazaji wa game hii atafutiwe kazi ingine hapo Azam.
Huyo ndo kipenzi cha Khadji Manara na Mashabiki wa Gongowazi! Eti hawamtaki Mpenja!!!Huyu mtangazaji wa game hii atafutiwe kazi ingine hapo Azam.
Madrid kashapigwa mkono hukoHawa leo hawachomoki...
Huyu jamaa hajapewa memo kuwa hii game haste haste, yeye moto moto tuuhuyu dogo gilimugisha atakuwa na vinasaba vya kolo sio kwa moto huu anao taka kutuwashia
Manara ana nafasi gani pale Azam media?Huyo ndo kipenzi cha Khadji Manara na Mashabiki wa Gongowazi! Eti hawamtaki Mpenja!!!
analeta mizaha mingi sana kuliko kutangaza mpiraAna utoto mwingi mnoo 🤣
Nashangaa hata wewe unaangalia na haitoshi umetafuta thread kabisa jf na umecomentYaani mtu anaacha kuangalia Elclassico anaangali haya mataktaka ya Tanzania?
Vocha hadi account number, uko vizuri👊Nitumie account number nitume pesa ya vocha unipigie kunipa maelekezo ya kuleta posa na mahali
Ni balozi wa bidhaa zao. Swali lingine?Manara ana nafasi gani pale Azam media?
Una Calculator lakini?Naona mnaendelea kuenjoy Gusa achia twende kwao [emoji172][emoji169]
Hii ni CHAMPIONS LEAGUE siyo kina Bravos huku
Sishangai! Siku zote najua wewe ni mchawiKwa hiyo vyura mmejifanya kukaza mtaachia tu