buildings tanzania
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 412
- 1,440
Kocha ampumzishe Mudathir ashachoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shabiki wa simba lini ulisikia anatumia akili kufikiri na kusema jamboHuu ni ushabiki wa kishamba na kilimbukeni. Zama hizi utoe Rushwa CAF wasijue uje ujue wewe huko Mugumu Serengeti?
Sina haja ni kushinda tu mechi zangu,hata sare leo ikitokea fresh kwasababu mwarabu tunampasua 3+ then tunafuzu......sina haja ya CalculatorUna Calculator lakini?
El classico kuna adhabu inaendelea kwa wateule wa bernabeu 😃😃🙌Yaani mtu anaacha kuangalia Elclassico anaangali haya mataktaka ya Tanzania?
Mauritania ya Gezaulole au ya NouakchottMwenendo Wa hapa Mauritania nilipo..........Sina Imani na Yanga...........................naona kbs Goli linarudi
Azam media haiusihani kabisa na hizo bidhaa ambazo Manara ni brand ambassadorNi balozi wa bidhaa zao. Swali lingine?
Maigizo yalikuwa ni kufungwa 5Haya ni maigizo sio mpira
Hahaa nisivyoipenda utoSishangai! Siku zote najua wewe ni mchawi
Yanga Kuna muda wanacheza kama Barcelona watupu.dah tuongee goli tu
Usitufanyie hivyo sisi baba mmoja bwana wote wa kariakoo tuonbeeni jamani mkienda wenyewe hamuoni upwekeHahaa nisivyoipenda uto
Habari ndiyo hiyo GSM amenunua mechi lakini bado mko nafasi ya tatu dadeq.Huu ni ushabiki wa kishamba na kilimbukeni. Zama hizi utoe Rushwa CAF wasijue uje ujue wewe huko Mugumu Serengeti?
Sijauona mchango wake leo kabisaKocha ampumzishe Mudathir ashachoka
Hakuna cha baba mmoja, hapa kila mtu ashinde mechi zake mna midomo sana nyinyi vyura wa jangwaniUsitufanyie hivyo sisi baba mmoja bwana wote wa kariakoo tuonbeeni jamani mkienda wenyewe hamuoni upweke