Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 6,438
- 10,180
Ila mchango wa striker la magoal Lucky Dube umeuona!?Sijauona mchango wake leo kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila mchango wa striker la magoal Lucky Dube umeuona!?Sijauona mchango wake leo kabisa
Hata mimi nilidhani wataachaiachia. Jamaa wako siriasi kama FainaliHawa Al Hilal mbona wapo serious sana na kurudisha goli?;roho mbaya tu
Soma uelewe mkuu kabla hujajibu, Wapi nimesema amehongwa? Mbona sentensi ipo wazi.kwamba kipa amehongwa aachie hilo goli
kwa goli lile hata ukisema wamehongwa wanakushanga
Kwa moto wa kilimugisha unathubutu vp kusema amehongwa mtu
Aheri dubeIla mchango wa striker la magoal Lucky Dube umeuona!?
Vinafungika, ile ya dar Yanga walikosa umakini tukapigwa kwenye counter.Hivi vijamaa ukiviangalia nini simple simple hivi ila hatari sana
Siangalii mpira mkuuNgapi kwa ngapi ?
Mkishinda mechinya mc alger nakulipia vvip ticket pale neshnoKila lakheri Yanga 💚
Huyu hamna kitu mmepigwaBora nimkumbuke Lomalisa Boka hapana
Nakwambia hawa wakisawazisha wakatolewe kikatili Robo na hakuna kuwapa hifadhi tena mana wanaona washajipata huko MauritaniaHata mimi nilidhani wataachaiachia. Jamaa wako siriasi kama Fainali
Acha mihemko, soma uelewe boss.Nani kahongwa ? Ila mbumbumbu
Hapana jmn msitufanyie hivyoHakuna cha baba mmoja, hapa kila mtu ashinde mechi zake mna midomo sana nyinyi vyura wa jangwani
Kanusha mkuu.Wacha weeee. Mbumbumbu hao katika ubora wao.
Tunachangamsha baraza tu mkuu 😂Hivi hizo hongo yanga anazitoa wapi mkuu za kumpa kila mtu 😀😀😀