Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Dube ana matatizo gani, Ni kama hajiamini
Hapa napo yanga imepigwa.Mi nawaaambia Dube ni 0
Nmejificha tangu dakika ya 60 wallahDk 10 nyingi sana
Hata Yanga ni wazuri.Hawa jamaa ni wazuri sana
Anatakiwa kuwa aggressive, yeye anataka goli la marudio ya video, yaani la minyatoHivi Dube ana matatizo gani, Ni kama hajiamini
Ndo uwezo wake huo, si mlimsajili kwa kukomoa!?Hivi Dube ana matatizo gani, Ni kama hajiamini
Al Hilal ndio wanatuchelewesha tu hapa tufunge hesabu tukalaleHapana jmn msitufanyie hivyo
Hivi Dube ana matatizo gani, Ni kama hajiamini
Kocha anachelewa kufanya sub.Chama aingie bhna
Em kuwa muungwana ndugu yangu siunaona kina dube wanavyotuchomaAl Hilal ndio wanatuchelewesha tu hapa tufunge hesabu tukalale