princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Tuombeeni watani twafaa ndugu zenu twafaaaUsijifiche Yanga bado wanaongoza na matumaini ni kwamba watashinda huu mchezo. All the best watani wa jadi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuombeeni watani twafaa ndugu zenu twafaaaUsijifiche Yanga bado wanaongoza na matumaini ni kwamba watashinda huu mchezo. All the best watani wa jadi
KuhusuMbona kimyaa
Hizi dakika za mwisho ndo mbaya sana , pressure iko juu sanaTuombeeni watani twafaa ndugu zenu twafaaa
Bado 1-0Mbona kimyaa
Si mnaongoza lakini?Kocha ameipeleka timu mpaka muda huu bila sub??? Wanaweza wakamaliza zote 90 hawa, au mimi ndiye sijaona kuwa kuna sub imefanyika?
Au Nchimbi?Toa Dube ingiza Ahoua
Akifanya hivyo atamuondolea confidence dube, would be a bad moveWa kutolewa sub ni Dube, kocha anakosea kumtoa Aziz Ki
Msijali, hii mechi mmeshashinda tayari.Yanga hii itawaua kwa pressure!
Sometimes makocha sijui huwa wanawaza nini!Mpumbavu aoni watu ndani wamechoka
Yarab maulana mbona FT haifikiHizi dakika za mwisho ndo mbaya sana , pressure iko juu sana
Heri Shame alone kuliko AhouaToa Dube ingiza Ahoua
Nao binadamu mkuu tusiwaseme sanaSometimes makocha sijui huwa wanawaza nini!
Zimeongezwa dk ngapi wadau !Yarab maulana mbona FT haifiki