Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawaendesha Uto kwa pua hadi wanapnekana kumimbia kimbia tu uwanjani.Kabisaaa
Fala sana uyo mwishoni asije akakimbia uwanjani kama kipind kileSasa Feisal anawazungushia kiuno.
Anawasugua
Azam piga hao kima wa JangwaniMatch Day
⚽ Azam FC vs Yanga SC
🏟️ Benjamin Mkapa Stadium
🛡️ Community Shield.
📅 11.08.2024
⏰ 7:00pm
#Daimambelenyumamwiko#
Tukutane saa Moja kwa Updates...
Mwanzo mwisho!!
Kikosi Cha Yanga Kinachoanza.
KIKOSI CHA AZAM
Updates....
Timu zote sasa zinaingia uwanjani ili mchezo uanze kutoka kwa Miamba miwili Yanga SC dhidi Azam FC
Mchezo umeanza sasa.
Dakika 2, Yanga wameaza kwa kasi.
Dakika 4, Max Mpia anakosa nafasi ya kufunga goli.
Dakika 8, Yanga wanajenga shambulizi ila Azam wanaokoa.
Dakika 13, Goooooool Feisa anawapa goli la kuongoza Azam FC
Labda ukojoe viwiliInaanzaga hivi inaisha na kurudishiwa viwili
Ulozi umeanza lini ?Inaanzaga hivi inaisha na kurudishiwa viwili
Wapigweeeee tuuuFei amepiga bao pale baada ya kuwapapasa uto
Wako vizuri wapi subiri muone, kila lakheri YangaaaIla Azam wako vizuri sana leo, wanastahili kushinda hii game
Afu fei wala hajavaa tait ndo nini lakini akipigwa mpira hapo kati si hatari, mbona anajirisk......Labda ukojoe viwili