Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Nasikia kwanza mmemkopaFernandez
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia kwanza mmemkopaFernandez
Ni suala la muda kuna masnitch watarudiNimekiona kuna mpaka wakina debora
Plus plus hizo zote na majini juuuSio uchawi,marefa na bahasha za GSM?
Labda muwaibeNi suala la muds kuna masnitch watarudi
Tuwapunguzie adhabu wanapitia kipindi kigumuNa maji hatuwapi😂😂
Kwamba simba tupo sawa na UTOPOLO? tunajidanganyaUsilazimishe hakuna aliezidiwa...kwa kikosi cha sasa...Yanga wenyewe wanaogopa...subiri mpira ndo kwanza umeanza...
Nikupe maji?😂Kwamba simba tupo sawa na UTOPOLO? tunajidanganya
Bwana usiwavimbishe kichwa..kwamba wao hawafungiki au kwamba wao ni nini labda?Kwamba simba tupo sawa na UTOPOLO? tunajidanganya
Mpe yale ya hill yenye limaoNikupe maji?😂
Subiri akubali ili nimpe maji😂Mpe yale ya hill yenye limao
KabisaSubiri akubali ili nimpe maji😂
Uto sio timu Bora kama inavyoimbwa. Ni timu ya kawaida Sana sijui huwa mnaangaliaje boli.Simba yenu.. nyie vijana wa D 2 mna tabu, haya kaeni na hiyo simba yenu, mie huko dunia ya kusifia tu mradi hiki ndio nikipendacho, NISHATOKA huko
Sitaki vitu toka kwa UTOPOLO,Nikupe maji?😂
Hao waliopelekewa moto na wale wazambia kwny siku yao...hawa ambao tumeqakimbiza dkk 90 wakatamani mpira uishe? Sema advantage yake ni kuwa wao wameshalizoea soka la Tz wana relax tofauti na wageni kwny timu yetu... wageni wetu wana tension kwanza ya kutaka kuonyesha ubora n.k ndhani hapa umenielewa..so relaax kaka...unaongea ukweli ila usipitilize...waswahili wanasemaBwana usiwavimbishe kichwa..kwamba wao hawafungiki au kwamba wao ni nini labda?
Hata wewe? Acheni huo msemo jamaniNikupe maji?😂