Full Time: Azam FC 1- 4 Yanga SC | Community Shield | Final | Benjamin Mkapa Stadium | 11/08/2024

Full Time: Azam FC 1- 4 Yanga SC | Community Shield | Final | Benjamin Mkapa Stadium | 11/08/2024

Simba yenu.. nyie vijana wa D 2 mna tabu, haya kaeni na hiyo simba yenu, mie huko dunia ya kusifia tu mradi hiki ndio nikipendacho, NISHATOKA huko
Uto sio timu Bora kama inavyoimbwa. Ni timu ya kawaida Sana sijui huwa mnaangaliaje boli.
 
Bwana usiwavimbishe kichwa..kwamba wao hawafungiki au kwamba wao ni nini labda?
Hao waliopelekewa moto na wale wazambia kwny siku yao...hawa ambao tumeqakimbiza dkk 90 wakatamani mpira uishe? Sema advantage yake ni kuwa wao wameshalizoea soka la Tz wana relax tofauti na wageni kwny timu yetu... wageni wetu wana tension kwanza ya kutaka kuonyesha ubora n.k ndhani hapa umenielewa..so relaax kaka...unaongea ukweli ila usipitilize...waswahili wanasema
Usinene ukamala...
Makaveli
 
Back
Top Bottom