uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Yah nimekumbuka ila team mnayo maana nimeona coastal anateseka sana chini ya sgrKikubwa Na sisi tulipata Ngao msimu uliopita...
☺☺☺☺☺☺☺☺
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah nimekumbuka ila team mnayo maana nimeona coastal anateseka sana chini ya sgrKikubwa Na sisi tulipata Ngao msimu uliopita...
☺☺☺☺☺☺☺☺
Hapana mkuu,nenda kacheki page ya tisa utaonaUna edit sio? 😀😃😁😆
🤣🤣🤣🤣🤣Kikubwa Na sisi tulipata Ngao msimu uliopita...
☺☺☺☺☺☺☺☺
Ashangilie tena sasa, tumewachakaza haswa.Anashangilia kipumbavu sana
hivi vitimu vidogo kuna katakula 10 🤣🤣YANGA hii itakuja kuua mtu 8 hii.
Gamond anamekuja na tabia ya kuepuka kudharilisha makocha wengine angalia vizuri akishinda anaipunguza team Kasi kidogoYANGA hii itakuja kuua mtu 8 hii.
Tunayo ndio japo umeandika kama kunisanifu...ila tunayooooYah nimekumbuka ila team mnayo maana nimeona coastal anateseka sana chini ya sgr
.Yanga hizo goli 3 ndo mwisho wenu shukuruni 2 ni kwa kudra za Mnyazi Mungu....
Nimemshangaa sana aisee,sijui kule Morocco alienda kufanya nini plus huu usajili wa wachezaji kutoka America ulikuwa wa maana gani,na kilichonishtua eti wanahitaji kipa kama Diara.Dabo anasema hawana Uzoefu na game za aina hii.
Yuko serious kweli?
Au Kiingereza shida?
🤣🤣🤣Shida ya Aly Kamwe Page yake itajaa kuinanga Simba..badala afurahi na Utopolo yake..yani atafanya kulinganisha tuu yaniii....anakeraaa
Kimsingi mfumo wowote angeingia nao bado angepigwa tena anabahati mwanzo kocha aliruhusu wote Aziz Max na Dube wafunge angesema atafutwe Dube pekee wangekula mkono tena mzuriUnasemaje hamna Confidence?
Inamaana seriously kabisa aliwadharau Yanga na akaingia na Mabeki wa tatu??
Wengine utabiri tumeuvamia ukubwani...🙂🙂
Hatimaye yametimia japo na wao wamepata la kufutia machozi [emoji16]Yanga 4 Azam 0
Tutakumbushana baadae
Yule fala wa kutukatia mauno sisi kweli 😂😂Fei amewaponza Swahiba.