Bado mojaUlitegemea 5
HahaWakuu kuna penati huko imetokea? Maana niliweka mzigo kwa Kanji
Samia andaa mpunga huooo[emoji386]
Umkunje vinneNakusubiri
Unakaribishwa umlete mtu hai Kama vile Mukwala na KibuBomu limetupwa mochwari....ππ
Msemaji wa Vitalo alizungumza vile ili kuongeza mapato kwa timu yake. Kumbuka Vitalo ndo mwenyejiAli kmwe anasema bado moja ampelekee barua ya kujiuzulu semaji la vitalO